BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
vaa viatu vya huyo mwanamke,, uone jinsi hiyo situation inavyokuwa-ga na utata.Aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vaa viatu vya huyo mwanamke,, uone jinsi hiyo situation inavyokuwa-ga na utata.Aiseee
Hakuna situation Wala nn ... kujiendekeza tuvaa viatu vya huyo mwanamke,, uone jinsi hiyo situation inavyokuwa-ga na utata.
Tukushauri nini sasa sisi?! Haya uwe unatembea na mafuta/kilainishi usije kupata maumivu siku ya tendo la likatiri..Wadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza. Siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Inashangaza kama wanawake wote wanaotoka nje ya ndoa zao kama watakuwa wanajiendekeza.Hakuna situation Wala nn ... kujiendekeza tu
Eeh, nimetunukiwa na mimi [emoji1]Ushakuwa Dr na wewe [emoji28]
Bado weweDr. [emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu mkuu 😅Eeh, nimetunukiwa na mimi [emoji1]
Bado nini?Bado wewe
Over...Hakuna kaka na dada kama ujazaliwa naye
Mtego huo mzee, usijae kwenye mtego wa kifala.Wadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2772]Zama salama
[emoji23]Hakuna mapenzi ya masikini wawili ni suala la muda tu
Ndo ivo,ndoa ikikushinda sepaInashangaza kama wanawake wote wanaotoka nje ya ndoa zao kama watakuwa wanajiendekeza.
Point tatu muhimu Mkuu, asa hapo ni mke wa mtu anamuonea wivu mume wa mtu.Wazee wa kataa ndoa wakiona hii kuna point kadhaa wanajiongezea!