BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Faida yake ni nini?Ndo ivo,ndoa ikikushinda sepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faida yake ni nini?Ndo ivo,ndoa ikikushinda sepa
Faida ganiFaida yake ni nini?
Kusepa.Faida gani
Huo utani wenu wakitoto katika maofisi wengine mnauchukua na kuufanya kana kwamba ni reality. Sijaelewa nikwanini, ila utani unabaki kuwa utani tu ila watu wazima kuufanya mambo ya utani kuwa ndio mmetongozana basi watu tulioajiriwa kipindi hiki bado tuwadogo hatujakuwa bado. Unataka kuuchukua utani na kuufanyia kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mnazingua sana. Ngoja tuone kama hizi ndoa za kipindi hiki zitadumu kama utani tu mnauendekeza nakuwa reality.Wadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Unakwepa mapanga ya fumaniziKusepa.
Hehehe!!! AlooooWadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Unakwepa mapanga ya fumanizi
Wadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Anataka kumuambikiza nin huyo sipati jibu kabisa.Wadau, habari zenu.
Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.
Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.
Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Asante ndugu...Huyu hajui mke watu sumu hajajua nini kilinit0kea au kinat0kea mwish0 wa izi mamb0..