Naelekea kuzama penzini

Naelekea kuzama penzini

Achana na warembo hawana mana,
Kama kupiga na kusepa sawa!! Km wife tafuta muonekano hafifu kidogo 😂😂
 
Kumbuka una mke tayar hiyo ni picha kama picha zingne tunza familia yako acha shetani akupitee
 
Wadau, habari zenu.

Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.

Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.

Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Huo utani wenu wakitoto katika maofisi wengine mnauchukua na kuufanya kana kwamba ni reality. Sijaelewa nikwanini, ila utani unabaki kuwa utani tu ila watu wazima kuufanya mambo ya utani kuwa ndio mmetongozana basi watu tulioajiriwa kipindi hiki bado tuwadogo hatujakuwa bado. Unataka kuuchukua utani na kuufanyia kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mnazingua sana. Ngoja tuone kama hizi ndoa za kipindi hiki zitadumu kama utani tu mnauendekeza nakuwa reality.
 
Wadau, habari zenu.

Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.

Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.

Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Hehehe!!! Aloooo
 
Wadau, habari zenu.

Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.

Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.

Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?

Kizazi cha Serelaki na Elactojen
 
Wadau, habari zenu.

Ni mtumishi serikalini. Ofisini kwetu kuna mrembo mmoja (nikisema mrembo, ninamaanisha mrembo). Huyu dada kwa takribani miaka 4 tuliyohudumu nae hapa kazini, amekuwa akipa heshima ya kaka na mimi nikimuona kama dada yangu mdogo.

Sasa kisanga kikaanza, siku moja tukiwa kikaoni, ndani ya kikao nikawa nachati na mtu mwingine. Huyo dada akaniandikia katika kikaratasi, "usichati. Napata wivu". Na imekuwa ni kama ada, akisikia tu simu yangu inaita, lazima aje aangalie ni nani anapiga na ni nani naongea nae. Lakini pia, weekend amekuwa akiniomba kama nina nafasi, basi nimtoe outing.

Nina mke na yeye ni mke wa mtu. Nafanyaje?
Anataka kumuambikiza nin huyo sipati jibu kabisa.
Ngoja madaktari waje.
 
Back
Top Bottom