Naelekea Shinyanga mjini kesho, naombeni sehemu ya bata na watoto wazuri

Naelekea Shinyanga mjini kesho, naombeni sehemu ya bata na watoto wazuri

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Ndugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda Shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu.

Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyo na mafuta kama moshi Kwa mlay vile.
1669396970237.jpg
 
Ndugu zangu tumsifu Yesu Kristo Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Nilifikiri unataka kuhubiri kumbe
 
Ndugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Sasa ushapost na picha ya liga hotel Shinyanga halafu bado unauliza kweli. Anzia hapo hapo liga majengo mapya utaenda malizia SIMeJ
 
Ndugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Hio picha si tayari ni Shinyanga apo Liga majengo mapya
 
Back
Top Bottom