Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #41
HhhahahaMkuu umeyataja kabisa maeneo yangu ya kuponea[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HhhahahaMkuu umeyataja kabisa maeneo yangu ya kuponea[emoji23][emoji23]
Mm nimelala Liga Hotel chumba kizuri tu Kwa elfu arobaini (40,000)Nenda hapo taifa road wapo wa kujipanga barabarani unaopoa kwa sh 2000 -3000 tu. Shy town mji mzuri kama una pesa ya kutumia. Lodge nzuri safi kwa sh 10000-15000 per day.
Ndugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda Shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu.
Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyo na mafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Sio mm sema amependezaUmependeeza sana kwenye picha hapo [emoji28]
Nani huyoKuna mama ako mdogo yupo hapo shy
Ooh kumbeKule ni viazi vitam na maziwa mgando
Hapo wapi sasa mkuuAsante mkuu nipo hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanakuja kukupa muongozo.
Ukihitaji sehemu ya kufanya ibada niambie!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Maisha bwana...kutoka kulala vituo vya mabasi(Kilwa Masoko) hadi logde za kishua.Mm nimelala Liga Hotel chumba kizuri tu Kwa elfu arobaini (40,000)
Hhhahaha mkuu our lives are flexibleMaisha bwana...kutoka kulala vituo vya mabasi(Kilwa Masoko) hadi logde za kishua.
Yeeeap kama Kawa@mpyayungu village ,, katika ubora wake
Kwenye kitimoto LUBAGA INNHapo wapi sasa mkuu