Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #21
Tinde ni shinyanga DC sio municipalNenda Tinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tinde ni shinyanga DC sio municipalNenda Tinde
we dada wwShinyanga yote imeoza .
Poapoa ni wasafi au ambaruti??Nenda relini..bakurutu..zingine utaulizia bodaboda watakupa muongozo.
#MaendeleoHayanaChama
Weeeee wachaaaShinyanga yote imeoza .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]we dada ww
Asiekunywa kabisa, ulevi unapelekea ukimwi staki kufanya ngono zembeSema mapema unataka totozi anaekunywa mnazi, mbege, Savannah au desperado?
Nilipita huko miaka kadhaa na Kuambiwa nisitie Demu yoyote kwani 85% yao ( Warembo ) Kiuhalisia walikuwa si Wazima tena Kiafya kutokana na Mazingira ya Kiuchumi ya huo Mkoa Ila sijajua kwa sasa. Bon Voyage huko.Ndugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Asante Kwa tahadhari labda ni kwasababu huo mkoa umezungukwa na machimbo ya madiniNilipita huko miaka kadhaa na Kuambiwa nisitie Demu yoyote kwani 85% yao ( Warembo ) Kiuhalisia walikuwa si Wazima tena Kiafya kutokana na Mazingira ya Kiuchumi ya huo Mkoa Ila sijajua kwa sasa. Bon Voyage huko.
Hhhahaha Aya bhanaUkipata gono na UTI sugu uanze kutusumbua humu kutuomba msaada wa dawa nzuri za kuzitibu?
Kitimito na BiaNdugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Asante mkuu nipo hapoKitimito na Bia
1. Addonvila (The Giant)
2. Lubaga IN
3.Tanganyika
4.Mhela
5. Fortune
Ibada.
Kanisa la mama mwenye Huruma Ngokolo.
Asante sana nimefika hapoMama mfuko uko vizuri
Tembelea
Vigimark Hotel. S
ATA Safari Lodge - Shinyanga.
Karena Hotel.
Simej Hotel.
ATA Safari Lodge Shinyanga.
Liga Hotel CO. Ltd.
Karena Hotel kwa hisani ya Google
NgokoloHao mabinti waliozoea ukuni wapo mtaa upi Kwa huko shinyanga mjin
Sawa nitaenda kujaribuNgokolo
Mkuu umeyataja kabisa maeneo yangu ya kuponea😂😂Nenda relini..bakurutu..zingine utaulizia bodaboda watakupa muongozo.
#MaendeleoHayanaChama