Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Acha ulofa Nani kasema sisaliWanakuja kukupa muongozo.
Ukihitaji sehemu ya kufanya ibada niambie!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sawa nitumie nambaNipe hela nikuambie
Nilifikiri unataka kuhubiri kumbeNdugu zangu tumsifu Yesu Kristo Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Nisisahau ndom nikiwa viwanja vpMjinga wewe, Kuna ukimwi wa kumwagikia
Usisahau ndom
Mtaa GaniNenda ukaopoe HIV.
Shinyanga yote imeoza .Mtaa Gani
Sasa ushapost na picha ya liga hotel Shinyanga halafu bado unauliza kweli. Anzia hapo hapo liga majengo mapya utaenda malizia SIMeJNdugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Hio picha si tayari ni Shinyanga apo Liga majengo mapyaNdugu zangu tumsifu Yesu Kristo. Kesho naenda shinyanga mjini Kwa wenyeji mnipokee lakini pia sehemu za kulala nzuri zilizostaarabika na Yale mambo yetu ya Hawa mama zetu. Lakini pia napenda sana kula kitimoto naombeni sehemu ambayo wanauza kitimoto nzuri Safi isiyonamafuta kama moshi Kwa mlay vile. View attachment 2427444
Nielekeze njiaSasa ushapost na picha ya liga hotel shinyanga afu bado unauliza kweli.Anzia apo apo liga majengo mapya utaenda malizia SIMeJ
Ivi kumbeHio picha si tayari ni Shinyanga apo Liga majengo mapya
Wacha weeeMbona unalidhalilisha hilo jina takatifu na mambo ya bata