Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sogea mpaka hapo maganzo ntapita na freester ya mwanzaMkuu nipitie na mimi 😹
😹😹😹Sogea mpaka hapo maganzo ntapita na freester ya mwanza
Radi hata mtoto mdogo, anakutengenezea Sumbawanga. Kama anataka aanzie huko. Asitoke Bariadi na uchawi wake akaenda Sumbawanga. Watammaliza.Njoo huku Sumbawanga ukabidhiwe radi kwa bei nafuu kabisa.
Karibu sana.Natarajia kuhamishia shughuli zangu za kiuchumi mjini bariadi.
Hii ni fursa kwangu kupata elimu adimu ya mambo ya kiroho pia ni sehemu ya utafiti wangu binafsi
Nitaleta mrejesho.
Hata daktari wa binadamu anaweza kuua mchawi endapo ataamua kutumia vibaya maarifa yake mfano unapressure ya kupanda akaamua kwa makusudi kukupa dawa za kuongeza kasi ya mapigo ya moyo
Uchawi ni akili ya mtu jinsi inavyomtuma atumie vibaya kipawa alichonacho.
Hata yesu angeamua kutumia vibaya nguvu yake akaua au kujeruhi watu angeitwa mchawi.
Uchawi ni matumizi mabaya ya maarifa na kipawa
Knowledge is power
Ukimtumikia mungu dunia hii kwa uaminifu nae hakuachi
unganza kuleta mrejesho kidogokidogo kabla haujawa msukuleNatarajia kuhamishia shughuli zangu za kiuchumi mjini bariadi.
Hii ni fursa kwangu kupata elimu adimu ya mambo ya kiroho pia ni sehemu ya utafiti wangu binafsi
Nitaleta mrejesho.
Wewe unaonekana kilazq kwemye mambo ya kirohounganza kuleta mrejesho kidogokidogo kabla haujawa msukule
Nikweli mchawi wa kiume shart awe na pumb* Moja?Mmi nlimaliza kozi ya miaka 3 bariadi kwasasa field nafanyia sumbawanga karibu kwa maswali
Actual katika kuonekana itaonekana kama zipo mbili lakini katika utendaji ni noja tu, inaenda wapi, inafanya nni, kwajili gani , hiyo ni somo linalo jitegemea kwenye topic inayo itwa KAJULENikweli mchawi wa kiume shart awe na pumb* Moja?
Weka copy ya joining instruction ili tuaminiMmi nlimaliza kozi ya miaka 3 bariadi kwasasa field nafanyia sumbawanga karibu kwa maswali
Na walaalniwe miiele wote wanaofundisha au kusomea uchawi. Walaaniwe milele katika Jina la YesuNatarajia kuhamishia shughuli zangu za kiuchumi mjini bariadi.
Hii ni fursa kwangu kupata elimu adimu ya mambo ya kiroho pia ni sehemu ya utafiti wangu binafsi
Nitaleta mrejesho.