Ni yule ambaye anaweza kuosha matapishi na uharo wako pale utakapo ugua.Nje ya mama mwanamke hana upendo wowote kwa mwanaume.
Nje ya mama mwanamke hana huruma kwa mwanaume.
Mwanamke hamuhitaji mwanaume kwa aina yoyote ya hitaji kinyume na mwanaume mwanaume anavyo muhitaji mwanaume.
Mwanamke haingii kwenye ndoa kwa ajili ya sex na sababu zake nyingine.
Naendelea kujifunza mwanamke ni nini na ninani akiwa sio mama yangu.
Imagine kama baba yako atabahatika kuusoma huu uziNje ya mama mwanamke hana upendo wowote kwa mwanaume.
Nje ya mama mwanamke hana huruma kwa mwanaume.
Mwanamke hamuhitaji mwanaume kwa aina yoyote ya hitaji kinyume na mwanaume mwanaume anavyo muhitaji mwanaume.
Mwanamke haingii kwenye ndoa kwa ajili ya sex na sababu zake nyingine.
Naendelea kujifunza mwanamke ni nini na ninani akiwa sio mama yangu.
Duh!Mwanamke haolewi,anazalishwa na kuachwa...
Ukimuoa ni kama umeolewa
Ataosha matapishi lakin kamwe hawez toa hela ya matibabu kila sikuNi yule ambaye anaweza kuosha matapishi na uharo wako pale utakapo ugua.
kujifunza kunaambatana na garama, hata mimi nimeweza kujua hivi karibuni.Ishini nao kwa akili.
Dada aliwahi kuniambia "mdogo wangu tofauti na sisi dada zako na mama yako, hakuna mwanamke mwingine atakaekuonea huruma"
Sikumuelewa kipindi hicho ndio utiineja umepamba moto kinaingia sikio la kulia kinatokea la kushoto nkawa naona kama ananipigia kelele. Nilikuja kumuelewa baadae sana tena kwa maumivu.
tahadhari kubwa sana kwao vijanaNyakati zimebadilika sana...
Wakati enzi hizo ndoa ndiyo ilikuwa ndiyo kila kitu kwa mwanamke, leo hii ndoa si lolote wala si chochote kwa wanawake..
Leo hii wanawake wengi wako tayari kuweka maslahi binafsi mbele kuliko miji yao, hawako tayari ku sacrifice chochote cha kwao ili tu ndoa yake idumu.
Wanawake wa sasa hawajui namna ya kutuliza ndoa zao, mwanamke ndiyo kama kipa ndani ya nyumba, asipojua namna ya kuutuliza uwanja basi lazima timu itafungwa tuu..
Vijana wa sasa mnaojiandaa kuingia kwenye ndoa, tegemeeni kabisa mnaoa kizazi cha wanawake ambacho MARRIAGE IS NOT THEIR PRIORITY.
Wakati huohuo mama yako ni mwanaume! Wakati huohuo unavyowaza kuhusu mwanamke ndivyo baba yako anavyomuwaza mama yako!Naendelea kujifunza mwanamke ni nini na ninani akiwa sio mama yangu.
hiyo wameisahau hao akina dada, wao wakishaolewa haoooo wameondoka wanashughulikia familia zao, leo wanakwambia wewe kaka usishughulike na yako.Ni yule ambaye anaweza kuosha matapishi na uharo wako pale utakapo ugua.
Ni vizuri inakuweka salama zaidikujifunza kunaambatana na garama, hata mimi nimeweza kujua hivi karibuni.