Nafanya biashara ya Miamala. Naombeni ushauri wenu

Nafanya biashara ya Miamala. Naombeni ushauri wenu

Huwa sifungi huwa naangalia kamishen ya kila mwezi na kuwaelekeza vijana wanote hiyo ktk kitabu. mfano.
1. September kamishen 20,000/=
2. October 21,000/=
3. Novemba 21,500/=

kisha najumlisha na lile salio langu nililowekeza najua kiasi kinachoongezeka
Hivyo unapotea mkuu biashara hii inahitajika Kila siku unapofunga ofisi ujue cash na Salio lipo ngapi na ulinganishe na mtaji wako.
 
Unaibiwa hiyo pesa.
Chakufanya chukua hesabu ya pesa yako yote uliyonayo (cash na ile iliyoko kwenye simu). Kila siku. Asubuhi ukifungua na jioni ukifunga.
Andika pesa unayoichukua Au madeni kama yapo. Utapata majibu haraka.
 
Back
Top Bottom