Unafikiri wanapewapewa tu kuna Muhuni amejiokoteza mpaka million 190 na bado akarudi kwenye Redio Ili achangiwe na wadau aende kusomea urubani hela haitoshi, hadi nilishangaa urubani mboni gharama sanaakirudi ndege kubwa hii hapo yeye Ndie pilot
hata akianza na kuku wa mayai ndege ni ndegeAnza kuweka kile kindege kwenye simu yako kwanza,
Ili hata kama hutakuja kufanikiwa,angalau utakua umefanya kitu kimoja kinachohusiana na Ndege kwenye maisha yako.
Kwanza aanze na ndogo ili apate masaa ya hewani kiuzoefu kisha aende hayo makubwaSasa si yeye anahitaji ndege kubwa kuendesha kama akisomea bongo ataishia kuendesha tundege tudogo tudogo aende huko nje akasome akirudi ndege kubwa hii hapo yeye Ndie pilot
Kwahio wewe ni Mtanzania wa kwanza kuwa na private jet na hatumjui. Mwanzo umeanza vizuri watu wakaona unawapa alternative ya cheap flying school. Mara unaanza vituko oh rahisi kuliko lori blah blah ninaendesha ndege yangu sijui nina meli za mizigo halafu unaishia kuweka ndege ya ku download!Nakupa pole.
Pengine umezungukwa na umasikini
πππ watu wanazani mali iko shambani mashamba ni nyie na hivyo basi Mvune kilicho shambani uchumi mmeukalia wana JFππππ Dadek zake...
Ujue bana utajiri tunao wenyewe ni vile connection hakuna...
Yaani mi nikipata hiyo connection ya viungo najiripua chap tuu
Mkuu ujawahi kujibu swali langu..Niambie Mkuu huko sasa hivi sijafatilia Ada zao zinakwendaje ila vyuo navijua na nimefika nilipokua nafatilia fursa miaka hiyo ila niliona ni kawaida kwa sababu dogo alichanga mwenyewe pesa zake akasoma yupo kazini ingekua hatari nadhani dogo asingefanikisha..
Mtu akibanwa lazima utegemee mambo kama hayo mkuu πππππKwahio wewe ni Mtanzania wa kwanza kuwa na private jet na hatumjui. Mwanzo umeanza vizuri watu wakaona unawapa alternative ya cheap flying school. Mara unaanza vituko oh rahisi kuliko lori blah blah ninaendesha ndege yangu sijui nina meli za mizigo halafu unaishia kuweka ndege ya ku download!
Sio kweli Mkuu fikiri mara mbili...Mkuu mimi rubani
Walahi ndege ni rahisi kuliko Lori lenye "tonge nyama"...Eaton fuller gear box.
Nataka nikauze kwanza korodani zote.....πππππππ watu wanazani mali iko shambani mashamba ni nyie na hivyo basi Mvune kilicho shambani uchumi mmeukalia wana JF
Achana nae hyo movies zinamuharibu πππSio kweli Mkuu fikiri mara mbili...
Cheki vizuri picha utaona muda halafu jiulize nipo wapi....Kwahio wewe ni Mtanzania wa kwanza kuwa na private jet na hatumjui. Mwanzo umeanza vizuri watu wakaona unawapa alternative ya cheap flying school. Mara unaanza vituko oh rahisi kuliko lori blah blah ninaendesha ndege yangu sijui nina meli za mizigo halafu unaishia kuweka ndege ya ku download!
Cheki vizuri picha utaona muda halafu jiulize nipo wapi....
SawaSio kweli Mkuu fikiri mara mbili...
hizo ndoto uliota wapi na lini?Wakuu nahisi nina kitu.
Tafadhali nisibezwe maana hii imekuwa ndoto yangu kitambo sasa.
Sasa nataka mnipe ABC's za namna navoweza kuifikia ndoto yangu hii.
Naanzia wapi? natakiwa kuwa na nini? au kuwaje namimi nianze kujipanga.
Zingatia: Ni ndege hizi za mchawi mweupe kama hizi alizoleta magu na sio zile zenu za kuruka usiku tu.
Mie nilitaka kumuuliza kwao mawe yapo maana kwenda huko serikali yenyewe itakuchangia kidogo sanaUnafikiri wanapewapewa tu kuna Muhuni amejiokoteza mpaka million 190 na bado akarudi kwenye Redio Ili achangiwe na wadau aende kusomea urubani hela haitoshi, hadi nilishangaa urubani mboni gharama sana
Mpe hata dakika tatu tatu kwa kila swali mkuu ππππππhizo ndoto uliota wapi na lini?
unataka uwe rubani kwenye ndege ya nani?
Nauli ya basi Dar mpaka Lubumbashi
Ahlan wasalaan, Naomba kumuulizeni ni kiasi gani cha nauli kwa fedha ya kiTanzania. Natanguliza shukran. Najaribu kuweka basi katika kutafuta riziki. Na pia kama kuna changamoto zozote katika njia naomba unijuze. Shukran tena πwww.jamiiforums.com
Kwanini hukwenda na Ndege yako huko Lubumbashi?
π π
Wapi karafuuKunywa kwanza huo UJI wako utapoa shauri yako
Aah wapi sina yeye atakuwa anaenda fieldKwanza aanze na ndogo ili apate masaa ya hewani kiuzoefu kisha aende hayo makubwa
Ni Pesa ndefu Peasant's Son's & Daughters hawawezi kulipia HIO elimu ya urubaniMie nilitaka kumuuliza kwao mawe yapo maana kwenda huko serikali yenyewe itakuchangia kidogo sana