Nafarijika kuona wazee wakitumika kushauri. Liundwe Baraza Kuu la Ushauri likiusisha Marais wastaafu

Nafarijika kuona wazee wakitumika kushauri. Liundwe Baraza Kuu la Ushauri likiusisha Marais wastaafu

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu:

i) Wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia
ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima
iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora.
iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba atashauri ili alinde cheo chake. Hivyo ushauri wake unakuwa ni bora

Kama Taifa huko nyuma kama ni makosa yamewahi kufanywa ni kuacha kuwasikiliza wazee na mpaka ikafika vijana kama Ali Happi kuwakemea wakae kimya muda wao umeisha.

Taifa lilibarikiwa linaanza kwa kuwasikiliza wazee.

Natamani Rais Samia aende mbali zaidi kwa kuanzisha Baraza kuu la ushauri likiwahusisha marais wastaafu na viongozi wakuu wengine wa kitaifa wastaafu.
 
Baada ya kushauri wataalamu, wabobezi na wasomi watumike wewe unashauri waganga wa kienyeji
 
Baada ya kushauri wataalamu, wabobezi na wasomi watumike wewe unashauri waganga wa kienyeji

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani Mzee Kikwete anapotumiwa na mashirika ya umoja wa kimataifa kwa ushauri na mambo mengine hao wabobezi na wataalamu hawakuonekana? Wazungu wanajua umuhimu wa wazee wastaafu
 
Nitajie Mzee mmojawapo anayeweza kuwa mshauri wa masuala muhimu ya nchi, usinitajie mzee wa msoga, sitaki kumsikia hiyo maana kipindi chake nchi ilikuwa outo-pilot!
 
Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu:

i) wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia
ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima
iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora.
iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba atashauri ili alinde cheo chake. Hivyo ushauri wake unakuwa ni bora

Kama Taifa huko nyuma kama ni makosa yamewahi kufanywa ni kuacha kuwasikiliza wazee na mpaka ikafika vijana kama Ali Happi kuwakemea wakae kimya muda wao umeisha.

Taifa lilibarikiwa linaanza kwa kuwasikiliza wazee.

Natamani Rais Samia aende mbali zaidi kwa kuanzisha Baraza kuu la ushauri likiwahusisha marais wastaafu na viongozi wakuu wengine wa kitaifa wastaafu.

Wazee wa CCM wana jipya gani boss? Huyo Mzee Mwinyi sio ndio alikuwa anajikomba hadi anasema na Magufuli anafaa kuongezewa muda wa kukaa madarakani?
 
Unadhani Mzee Kikwete anapotumiwa na mashirika ya umoja wa kimataifa kwa ushauri na mambo mengine hao wabobezi na wataalamu hawakuonekana? Wazungu wanajua umuhimu wa wazee wastaafu

Wamemchagua JK sio kwa ubora wake, bali ni kwakuwa ndio mstaafu mwenye muda wa kuzunguka kufanya mikutano isiyo na tija.
 
Wamemchagua JK sio kwa ubora wake, bali ni kwakuwa ndio mstaafu mwenye muda wa kuzunguka kufanya mikutano isiyo na tija.
Hayana Tija wakati kwa kazi yake na wengine dunia inakuwa mahali salama kwa kuishi. Mzee Kikwete na wazee wengine Wana exposure kubwa ya masuala mbalimbali.
 
Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu:

i) Wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia
ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima
iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora.
iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba atashauri ili alinde cheo chake. Hivyo ushauri wake unakuwa ni bora

Kama Taifa huko nyuma kama ni makosa yamewahi kufanywa ni kuacha kuwasikiliza wazee na mpaka ikafika vijana kama Ali Happi kuwakemea wakae kimya muda wao umeisha.

Taifa lilibarikiwa linaanza kwa kuwasikiliza wazee.

Natamani Rais Samia aende mbali zaidi kwa kuanzisha Baraza kuu la ushauri likiwahusisha marais wastaafu na viongozi wakuu wengine wa kitaifa wastaafu.
Sio hawa wazee wa ccm ambao na wao kipindi chao walifeli
 
Wazee wa CCM wana jipya gani boss? Huyo Mzee Mwinyi sio ndio alikuwa anajikomba hadi anasema na Magufuli anafaa kuongezewa muda wa kukaa madarakani?
Ninachomkubali mzee Mwinyi ni kusema ukweli hata kama wengine hawautaki. Mzee Mwinyi ni mwana mapinduzi na mwana mabadiliko wa kweli na mwanamapinduzi yeyote tamaa yake kubwa ni kuona alichokiona na kusema alichosema mzee Mwinyi
 
Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu:

i) Wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia
ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima
iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora.
iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba atashauri ili alinde cheo chake. Hivyo ushauri wake unakuwa ni bora

Kama Taifa huko nyuma kama ni makosa yamewahi kufanywa ni kuacha kuwasikiliza wazee na mpaka ikafika vijana kama Ali Happi kuwakemea wakae kimya muda wao umeisha.

Taifa lilibarikiwa linaanza kwa kuwasikiliza wazee.

Natamani Rais Samia aende mbali zaidi kwa kuanzisha Baraza kuu la ushauri likiwahusisha marais wastaafu na viongozi wakuu wengine wa kitaifa wastaafu.
Naunga mkono hoja wamsaidie chief Hangaya ,lazima tuwekeza kwenye kilimo maana kilimo ndiyo kimeajiri 84%
 
Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu:

i) Wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia
ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima
iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora.
iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba atashauri ili alinde cheo chake. Hivyo ushauri wake unakuwa ni bora

Kama Taifa huko nyuma kama ni makosa yamewahi kufanywa ni kuacha kuwasikiliza wazee na mpaka ikafika vijana kama Ali Happi kuwakemea wakae kimya muda wao umeisha.

Taifa lilibarikiwa linaanza kwa kuwasikiliza wazee.

Natamani Rais Samia aende mbali zaidi kwa kuanzisha Baraza kuu la ushauri likiwahusisha marais wastaafu na viongozi wakuu wengine wa kitaifa wastaafu.
MARAIS wastaafu wa Tanzania wanaacha kutatua Migogoro ya Ndani wanakimbilia MIGOGORO ya Burundi na Kenya Sudani ya Kusini n.k
RAIS MAGUGULI Alivuruga CHAGUZI ZETU MARAIS WASTAAFU walikaa Kimya
RAIS MAGUFULI
Aliteua Wabunge fake 19 Wa CHADEMA kinyume na KATIBA
MARAIS wastaafu walikaa kimya
RAIS MAGUFULI
Alizuia Mikutano ya hadhara ya Vyama MARAIS Wastaafu walikaa kimya
BINAFSI sioni UMUHIMU wa MARAIS WASTAAFU kama MAMBO yanaharibika WANAKAA KIMYA
 
MARAIS wastaafu wa Tanzania wanaacha kutatua Migogoro ya Ndani wanakimbilia MIGOGORO ya Burundi na Kenya Sudani ya Kusini n.k
RAIS MAGUGULI Alivuruga CHAGUZI ZETU MARAIS WASTAAFU walikaa Kimya
RAIS MAGUFULI
Aliteua Wabunge fake 19 Wa CHADEMA kinyume na KATIBA
MARAIS wastaafu walikaa kimya
RAIS MAGUFULI
Alizuia Mikutano ya hadhara ya Vyama MARAIS Wastaafu walikaa kimya
BINAFSI sioni UMUHIMU wa MARAIS WASTAAFU kama MAMBO yanaharibika WANAKAA KIMYA
Kama kuna kiongozi nina pata taabu kumwelewa baadhi ya misimamo yake alikuwa ni JPM ,Mmoja ya majukumu ya citizen NO 1,Ni pamoja na ku safe guard the public safety na ku promote Human right and human dignity ,aisee wasiojulikana walipoteza wengi mno ,,any way ,Alifanya mengi mazuri pia ..RIP JPM
 
Nafarijika sana kuona wazee wakitumika kushauri masuala mbalimbali kwa sababu:

i) Wazee wanatoa maamuzi yaliyotulia
ii) Wazee hawakurupuki kwa sababu wanaongozwa na hekima
iii) Wazee wana uzoefu wa kutosha hivyo wanatumia uzoefu wao kutoa ushauri bora.
iv) Wazee hawana cha kupoteza kwamba atashauri ili alinde cheo chake. Hivyo ushauri wake unakuwa ni bora

Kama Taifa huko nyuma kama ni makosa yamewahi kufanywa ni kuacha kuwasikiliza wazee na mpaka ikafika vijana kama Ali Happi kuwakemea wakae kimya muda wao umeisha.

Taifa lilibarikiwa linaanza kwa kuwasikiliza wazee.

Natamani Rais Samia aende mbali zaidi kwa kuanzisha Baraza kuu la ushauri likiwahusisha marais wastaafu na viongozi wakuu wengine wa kitaifa wastaafu.
sijaona rais staafu mwenye busara ya kuwa kwenye hilo baraza labda useme wastaafu wengine na si marais.wao kipindi chao walifeli halafu leo washauri nini sasa si sawa tu na kumpigia mbuzi kengere.
 
Wazee wenyewe ndio hawa hawa wakusema" wazuri hawafi" au wazee gani
 
sijaona rais staafu mwenye busara ya kuwa kwenye hilo baraza labda useme wastaafu wengine na si marais.wao kipindi chao walifeli halafu leo washauri nini sasa si sawa tu na kumpigia mbuzi kengere.
Umejuaje walifeli? Je, kama ilipangwa iwe hivyo unavyosema utasemaje walifeli?
 
MARAIS wastaafu wa Tanzania wanaacha kutatua Migogoro ya Ndani wanakimbilia MIGOGORO ya Burundi na Kenya Sudani ya Kusini n.k
RAIS MAGUGULI Alivuruga CHAGUZI ZETU MARAIS WASTAAFU walikaa Kimya
RAIS MAGUFULI
Aliteua Wabunge fake 19 Wa CHADEMA kinyume na KATIBA
MARAIS wastaafu walikaa kimya
RAIS MAGUFULI
Alizuia Mikutano ya hadhara ya Vyama MARAIS Wastaafu walikaa kimya
BINAFSI sioni UMUHIMU wa MARAIS WASTAAFU kama MAMBO yanaharibika WANAKAA KIMYA
Nafasi ya wastaafu na wazee ni kubwa katika kuongoza kwa busara. Ushauri wa mzee Pinda utakuwa ni tofauti na ule wa Bashe kwa sababu ya exposure zao na utulivu wao wa kimaamuzi.

Masuala mengine uliyosema sidhani hata wewe unaweza kuyathibisha hivyo zinabaki ni tuhuma na tetesi tu.

Wanapoenda kutatua migogoro sio kwamba wanajipeleka ,wanapelekwa. Sasa mgogoro upi ungetatuliwa wakati haupo?
 
Back
Top Bottom