ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Aisee usafiri niliona wa shida sana,kisa mvua, anyway kila la kheri kwa interviewees wote.Yani mtu achome nauli yake alafu asifanye mtihani kisa mvua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee usafiri niliona wa shida sana,kisa mvua, anyway kila la kheri kwa interviewees wote.Yani mtu achome nauli yake alafu asifanye mtihani kisa mvua
Dah kweli ase maana lile zaga sio kabisa😀Hatari ndugu tusubiri tuone panga litapitaje😂
Watu wanasema baada ya mwezi hiviHahaaaaaa yametoka?
Atleast wiki 3Watu wanasema baada ya mwezi hivi
KumbeWatu wanasema baada ya mwezi hivi
Nadhani watu wanasubiri matokeo yao wajue kama wanaingia oral ama la 😀Uzi upo kimya jaman mbona
Sio mbay lkn hwend ata matokeo yakitoka uzi utaendelea kua dormant, ni vzr uzi uwe active all daysNadhani watu wanasubiri matokeo yao wajue kama wanaingia oral ama la 😀
Una hamu na kuyaona eee[emoji23][emoji23]Kimyaa[emoji23]
Uzi upo kimya sana au watu tyr washaitwa😄Una hamu na kuyaona eee[emoji23][emoji23]
Mwaka jana uzi ulitembea. Mwaka huu watu hawataki shobo. Wanasubiri mapanga tu[emoji23]Una hamu na kuyaona eee[emoji23][emoji23]
Wanaosubiri mapanga watayapata, ila wanaosubiri kuitwa wataitwa kila mtu atapata akitakacho😆😆Mwaka jana uzi ulitembea. Mwaka huu watu hawataki shobo. Wanasubiri mapanga tu[emoji23]
Ukute watu washaanza kazi, sisi tunasubiri mkeka tuu 😃Uzi upo kimya sana au watu tyr washaitwa😄
HahaaUkute watu washaanza kazi, sisi tunasubiri mkeka tuu 😃
Ila mkeka utatoka soon tujipe matumaini. Munugu atusaidieUkute watu washaanza kazi, sisi tunasubiri mkeka tuu 😃
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukute watu washaanza kazi, sisi tunasubiri mkeka tuu [emoji2]