April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,147
Kabisa kabisa ahsante sana.Msiogope kuomba wakuu nina friends wawili wamepata za mwaka jana zile hawana connection. Nafahamu mambo ya connection hayaepukiki lakini hawawezi kuchukua wote connection... nafasi ni nyingi hizo wakuu ombeni