Nafasi chache uwa hazitangazwi na ikulu au press yeyote wachache ndo tunazijua kulingana na unyeti. R.I.P mshauri Mkuu wa Rais Juu ya Usalama wa Taifa

Nafasi chache uwa hazitangazwi na ikulu au press yeyote wachache ndo tunazijua kulingana na unyeti. R.I.P mshauri Mkuu wa Rais Juu ya Usalama wa Taifa

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Bwana Bernard Camilius Membe, Mtu Maalumu kwa mikakati maalumu kwa lengo Maalumu (Mshauri mkuu wa masuala ya usalama wa Taifa na nchi kwa Jumla)

Ni wachache watakao kuwa wanajua nafasi yake ilikuwa ipi Ila kwa kifupi nafasi Kama yake uwa hazitangazwi, zinatangazwa za mshauri mkuu wa masuala ya Kimataifa, Mshauri mkuu wa masuala ya Uchumi, au siasa ila ya Isalama wa Taifa uwa ni Siri kwa usalama zaidi

Taifa limepoteza, Chama kimepoteza na Wanadiplomasia wamepoteza

Membe Ntamkumbuka kwa mambo Makuu mawili

Tanzania wapo watu wawili tu ambao walisimama kidete wakati tunakaangwa na mafuta ya kenge 2015-2021 walio walioenda kwa misimamo Yao bila kurudi nyuma

1. Tundu A Lissu alisema bila kuogopa mtu

2. Bernard Membe pamoja na kuwa blackmailed Mara kadhaa

Watu hawa ni nguzo ukatae ukubali katika kusimamia walichoamini wakiwa ndani ya nchi chini inayoongozwa na KATO

Maswali yapo mengi mtakayojiuliza wasoma uzi
Nafasi hii aliteuliwa lini na anateuliwa na Nani? Kwanini awe yeye ambaye alikuwa na sintofahamu na Aliyetangulia

Pumzika kachero

Britanicca
 
Bwana Bernard Camilius Membe, Mtu Maalumu kwa mikakati maalumu kwa lengo Maalumu (Mshauri mkuu wa masuala ya usalama wa Taifa na nchi kwa Jumla)

Ni wachache watakao kuwa wanajua nafasi yake ilikuwa ipi Ila kwa kifupi nafasi Kama yake uwa hazitangazwi, zinatangazwa za mshauri mkuu wa masuala ya Kimataifa, Mshauri mkuu wa masuala ya Uchumi, au siasa ila ya Isalama wa Taifa uwa ni Siri kwa usalama zaidi

Taifa limepoteza, Chama kimepoteza na Wanadiplomasia wamepoteza

Membe Ntamkumbuka kwa mambo Makuu mawili

Tanzania wapo watu wawili tu ambao walisimama kidete wakati tunakaangwa na mafuta ya kenge 2015-2021 walio walioenda kwa misimamo Yao bila kurudi nyuma

1. Tundu A Lissu alisema bila kuogopa mtu

2. Bernard Membe pamoja na kuwa blackmailed Mara kadhaa

Watu hawa ni nguzo ukatae ukubali katika kusimamia walichoamini wakiwa ndani ya nchi chini inayoongozwa na KATO

Maswali yapo mengi mtakayojiuliza wasoma uzi
Nafasi hii aliteuliwa lini na anateuliwa na Nani? Kwanini awe yeye ambaye alikuwa na sintofahamu na Aliyetangulia

Pumzika kachero

Britanicca
Aya bwana
 
Ikiwa imekuwa ndio imekuwa, nafasi za malegend hizo na hazikosi msuguano na migongano. He was purely exceptionally qualified hero for TZ
 
Kumbe Musiba ameangusha mbuyu mkubwa kiasi hiki. Kidding😂😂😂😂.
Anyways, this is a huge massage, they have just sent!
Bwana Bernard Camilius Membe, Mtu Maalumu kwa mikakati maalumu kwa lengo Maalumu (Mshauri mkuu wa masuala ya usalama wa Taifa na nchi kwa Jumla)

Ni wachache watakao kuwa wanajua nafasi yake ilikuwa ipi Ila kwa kifupi nafasi Kama yake uwa hazitangazwi, zinatangazwa za mshauri mkuu wa masuala ya Kimataifa, Mshauri mkuu wa masuala ya Uchumi, au siasa ila ya Isalama wa Taifa uwa ni Siri kwa usalama zaidi

Taifa limepoteza, Chama kimepoteza na Wanadiplomasia wamepoteza

Membe Ntamkumbuka kwa mambo Makuu mawili

Tanzania wapo watu wawili tu ambao walisimama kidete wakati tunakaangwa na mafuta ya kenge 2015-2021 walio walioenda kwa misimamo Yao bila kurudi nyuma

1. Tundu A Lissu alisema bila kuogopa mtu

2. Bernard Membe pamoja na kuwa blackmailed Mara kadhaa

Watu hawa ni nguzo ukatae ukubali katika kusimamia walichoamini wakiwa ndani ya nchi chini inayoongozwa na KATO

Maswali yapo mengi mtakayojiuliza wasoma uzi
Nafasi hii aliteuliwa lini na anateuliwa na Nani? Kwanini awe yeye ambaye alikuwa na sintofahamu na Aliyetangulia

Pumzika kachero

Britanicca
 
Bwana Bernard Camilius Membe, Mtu Maalumu kwa mikakati maalumu kwa lengo Maalumu (Mshauri mkuu wa masuala ya usalama wa Taifa na nchi kwa Jumla)

Ni wachache watakao kuwa wanajua nafasi yake ilikuwa ipi Ila kwa kifupi nafasi Kama yake uwa hazitangazwi, zinatangazwa za mshauri mkuu wa masuala ya Kimataifa, Mshauri mkuu wa masuala ya Uchumi, au siasa ila ya Isalama wa Taifa uwa ni Siri kwa usalama zaidi

Taifa limepoteza, Chama kimepoteza na Wanadiplomasia wamepoteza

Membe Ntamkumbuka kwa mambo Makuu mawili

Tanzania wapo watu wawili tu ambao walisimama kidete wakati tunakaangwa na mafuta ya kenge 2015-2021 walio walioenda kwa misimamo Yao bila kurudi nyuma

1. Tundu A Lissu alisema bila kuogopa mtu

2. Bernard Membe pamoja na kuwa blackmailed Mara kadhaa

Watu hawa ni nguzo ukatae ukubali katika kusimamia walichoamini wakiwa ndani ya nchi chini inayoongozwa na KATO

Maswali yapo mengi mtakayojiuliza wasoma uzi
Nafasi hii aliteuliwa lini na anateuliwa na Nani? Kwanini awe yeye ambaye alikuwa na sintofahamu na Aliyetangulia

Pumzika kachero

Britanicca
Pengo lake litazibwa na wanafunzi wapya alowaacha.
 
Back
Top Bottom