Nafasi Moja ya Kazi Kwenye Shirika la Ndege ni kwa Mwenye Vigezo Hivi

Nafasi Moja ya Kazi Kwenye Shirika la Ndege ni kwa Mwenye Vigezo Hivi

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Me sina cha kuongezea maana nasoma na kurudia kusoma, huyu mtu anayetakiwa hapa ni wa namna gani!.

20230406_231950.jpg
 
Nahisi hata mshahara utapanga mwenyewe kwamba ulipwe shilingi ngapi? 😂
 
hata wao hawajui wanataka mtu wa IT au Marketing au both,kama tu TTCL hawajui wanamdai nani ila wanajua kuna watu wanawadai[emoji23]

Hapa ni simple mbona. You can be both just ujue tu kucheza na contents online.
 
hata wao hawajui wanataka mtu wa IT au Marketing au both,kama tu TTCL hawajui wanamdai nani ila wanajua kuna watu wanawadai😂
Hata binadamu kuna wakati unasahau unaemdai au anaekudai ila baada ya muda unakuja kukumbuka.

Hivyo TTCL wakikuna kichwa wakakaa wakatulia watawakumbuka tu wadaiwa wao. Ni vile tu mambo yamekua mengi ndio maana wamewasahau 😆😆😆
 
IT and graphics designers proffessional huyu kama kaiva sana marketing anafanya
 
Hata binadamu kuna wakati unasahau unaemdai au anaekudai ila baada ya muda unakuja kukumbuka.

Hivyo TTCL wakikuna kichwa wakakaa wakatulia watawakumbuka tu wadaiwa wao. Ni vile tu mambo yamekua mengi ndio maana wamewasahau 😆😆😆
😂wakune tu kichwa
 
Back
Top Bottom