Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Hahaaaaaaa duuuuUbongo wako utakuwa umechanganyika na haja kubwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaaa duuuuUbongo wako utakuwa umechanganyika na haja kubwa wewe
Kwahiyo miongoni mwa niliowataja walikuwa wamekaa pembeni wanausoma mchezo sio? Cowards!Utamaduni wa maandamano ndiyo unaanza na huko mbele watu wengi watashiriki bila hofu. Kwa leo upande wa serikali haukuwa na uhakika na upande wa wananchi pia. imekuwa kama pilot study.Mwanzo huwa mgumu. wacha tuone maandamano yajayo.
kwahiyo wengi leo waliwaacha wenzao wawe chambo sio? Cowards!Mkuu nilichoona mimi hii ni teaser tu , next time itakua balaa , maana itagusa watu wote na hapo ndipo utasikia ' km tuliweza kipindi kile kwann sasa tushindwe ' hutoamini
Ni kweli.Vinavyojiita vyama vya upinzani kwa nchi yetu ni vikundi vya ulalamishi hisipokuwa Chadema wanaoonyesha uthubutu na upinzani wa kweli. Hii imekuwa ikionekana muda mrefu mbali na haya maandamano. Nakumbuko kipindi cha tozo watu waliilia Chadema iwasemee hasa Lissu na Mbowe.
Na CCM ni chama cha majambazi na mafisadi wala kodi za nchi.CHADEMA NI CHAMA CHA MBOWE KUPIGA HELA YA RUZUKU NA MKWE WAKE MTEI (Fullstop). Think!
Wasalaam,
Kwanza nianze kwa kuwapongeza chama cha demokrasia na maendelea (CHADEMA) kwa uthubutu wao wa kuanzisha na kuratibu maandamano haya ya amani kama njia ya kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala na hata jamii ya kimataifa.
Kwa upekee sana nipende kuisifu serikali tawala na vyombo vya usalama hasa vya mkoa wa dar es salaam kwa ukomavu huu wa kuruhusu maandamano haya (japo najua ni kwa shingo upande na maelekezo maalum)
Lipo jambo moja lilikuwa likipigiwa chepuo wakati wa kunadi maandamano haya kuwa yatakuwa ya kitaifa pasi na kujali chama, dini na kadharika na viongozi wa chadema waliwakaribisha watanzania wote kushiriki na kufikisha ujumbe wa changamoto ya ugumu wa maisha na udharimu wa chama na serikali iliyokuwa madarakani.
Hiyo ndio picha niliyoiweka kichwani na kuamka nayo leo nikitegemea kuiona kwenye maandamano haya, lakini hali imekuwa tofauti licha ya maandamano hayo kufana kwa wingi wa watu na shamla shamla za hapa na pale ni kama yamekuwa maandamano ya chama kimoja tu.
Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu huku nikijiuliza maswali yafuatayo.
Wako wapi magwiji wa siasa kutoka vyama vingine vya upinzani wanaolilia uvunjifu wa kanuni za uchaguzi kila kukicha?
wako wapi wafanyabiashara wakubwa na maarufu wanaokumbana na changamoto ya kodi zisizo na msingi kila kukicha?
Wako wapi viongozi wa dini maarufu wanaohubiri haki za raia kila kukicha na kupinga vitendo vya unyanyasaji kwa raia?
Wako wapi wasanii wanaoimba nyimbo za kulalamikia maisha mabovu kwa watanzania kila kukicha?
Je, wako wapi waandishi wa habari nguli wanaongoza kupinga mikataba mbalimbali ya kidharimu kwa nchi yetu?
Ina maana hawa wote hawajaona umuhimu wa haya maandamano, kuunga mkono na kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala, je kinachoonekana leo kinaleta picha ya utaifa?
Ninachokiona mimi, uoga, unafiki, uzandiki wa watu maarufu kutoka kila nyanja nchini ambao kila kukicha kazi kupiga midomo kwenye keyboard leo wameamua kuonyesha unafiki wao na kufanya maandamano haya yaonekane ni ajenda ya kisiasa ya chama kimoja na si jambo la kitaifa kama ilivyokusudiwa.
Wasalaam.
Wewe ukiona watu wanajadili hoja zinazohitaji kutumia akili, pita pembeni. Maana kama hoja inahitaji akili, na wewe akili huna, utachangia kitu usichokuwa nacho?
Ndugu yangu.Wasalaam,
Kwanza nianze kwa kuwapongeza chama cha demokrasia na maendelea (CHADEMA) kwa uthubutu wao wa kuanzisha na kuratibu maandamano haya ya amani kama njia ya kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala na hata jamii ya kimataifa.
Kwa upekee sana nipende kuisifu serikali tawala na vyombo vya usalama hasa vya mkoa wa dar es salaam kwa ukomavu huu wa kuruhusu maandamano haya (japo najua ni kwa shingo upande na maelekezo maalum)
Lipo jambo moja lilikuwa likipigiwa chepuo wakati wa kunadi maandamano haya kuwa yatakuwa ya kitaifa pasi na kujali chama, dini na kadharika na viongozi wa chadema waliwakaribisha watanzania wote kushiriki na kufikisha ujumbe wa changamoto ya ugumu wa maisha na udharimu wa chama na serikali iliyokuwa madarakani.
Hiyo ndio picha niliyoiweka kichwani na kuamka nayo leo nikitegemea kuiona kwenye maandamano haya, lakini hali imekuwa tofauti licha ya maandamano hayo kufana kwa wingi wa watu na shamla shamla za hapa na pale ni kama yamekuwa maandamano ya chama kimoja tu.
Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu huku nikijiuliza maswali yafuatayo.
Wako wapi magwiji wa siasa kutoka vyama vingine vya upinzani wanaolilia uvunjifu wa kanuni za uchaguzi kila kukicha?
wako wapi wafanyabiashara wakubwa na maarufu wanaokumbana na changamoto ya kodi zisizo na msingi kila kukicha?
Wako wapi viongozi wa dini maarufu wanaohubiri haki za raia kila kukicha na kupinga vitendo vya unyanyasaji kwa raia?
Wako wapi wasanii wanaoimba nyimbo za kulalamikia maisha mabovu kwa watanzania kila kukicha?
Je, wako wapi waandishi wa habari nguli wanaongoza kupinga mikataba mbalimbali ya kidharimu kwa nchi yetu?
Ina maana hawa wote hawajaona umuhimu wa haya maandamano, kuunga mkono na kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala, je kinachoonekana leo kinaleta picha ya utaifa?
Ninachokiona mimi, uoga, unafiki, uzandiki wa watu maarufu kutoka kila nyanja nchini ambao kila kukicha kazi kupiga midomo kwenye keyboard leo wameamua kuonyesha unafiki wao na kufanya maandamano haya yaonekane ni ajenda ya kisiasa ya chama kimoja na si jambo la kitaifa kama ilivyokusudiwa.
Wasalaam.
Umeeleza vizuri sana mkuu.Nilicho kiona leo nikwamba CHADEMA ndiyo iliyo andamana na wafuasi wao.
Sikwamba walio salia majumbani wote hawajapendezwa na maandamano hayo .
Kuna makundi kwenye hilo.
(1) Vyama vingine vinavyo jitanabahisha kuwa ni wapinzani ,wanafikiri kwamba kama wange unga mkono maandamano hayo basi CHADEMA ingeonekana kung'ara na si vyama vingine . Japo hoja hiyo haina mashiko kwa kuzingatia umuhimu wa sababu za maandamano.
(2) Wafanya biashara, Hawa ndiyo watu wsoga zaidi nchini Tanzania, wanafikiri kama wangeonekana kwenye maandamano basi tra ingewatimbia kwenye biashara zao kesho tu na kuwafanyia makadilio debe.
(3) Viongozi wa kidini ,Viongozi wengi wa dini ni ccm b au wanafiki kwa maneno mengine ,na wale wachache ambao huicharua serikali wamefikiri wakiambatana na CHADEMA kwenye maandamano basi jamii itawachukulia kama ,wanajiingiza kwenye siasa kama ambavyo wafuasi wa ccm huwa sema ili kufifisha hoja zao. Japo ni woga wa bure kwani wanahaki kuandamana kikatiba kama wananchi wengine.
Hata hivyo ni ukweli usio pingika kwamba maandamano hayo yamefurawiwa na watu wengi ndana nje ya serikali ,kwani polisi,wauguzi,waalimu,na watumishi wenye kada za chini serikalini wanapambana na maisha magumu kama ilivyo kwa wanachadema.
Mjinga hajibiwiCHADEMA NI CHAMA CHA MBOWE KUPIGA HELA YA RUZUKU NA MKWE WAKE MTEI (Fullstop). Think!
Tupo na tumeshiriki maandamano kikamilifu, kwanza kwa kuyawezesha kufanyika Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu hivyo kufuatia ushauri huo, hili likafanyika Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa na maandamano yakawezekana.Je, wako wapi waandishi wa habari nguli wanaongoza kupinga mikataba mbalimbali ya kidharimu kwa nchi yetu?
2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka frontWasalaam,
Kwanza nianze kwa kuwapongeza chama cha demokrasia na maendelea (CHADEMA) kwa uthubutu wao wa kuanzisha na kuratibu maandamano haya ya amani kama njia ya kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala na hata jamii ya kimataifa.
Kwa upekee sana nipende kuisifu serikali tawala na vyombo vya usalama hasa vya mkoa wa dar es salaam kwa ukomavu huu wa kuruhusu maandamano haya (japo najua ni kwa shingo upande na maelekezo maalum)
Lipo jambo moja lilikuwa likipigiwa chepuo wakati wa kunadi maandamano haya kuwa yatakuwa ya kitaifa pasi na kujali chama, dini na kadharika na viongozi wa chadema waliwakaribisha watanzania wote kushiriki na kufikisha ujumbe wa changamoto ya ugumu wa maisha na udharimu wa chama na serikali iliyokuwa madarakani.
Hiyo ndio picha niliyoiweka kichwani na kuamka nayo leo nikitegemea kuiona kwenye maandamano haya, lakini hali imekuwa tofauti licha ya maandamano hayo kufana kwa wingi wa watu na shamla shamla za hapa na pale ni kama yamekuwa maandamano ya chama kimoja tu.
Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu huku nikijiuliza maswali yafuatayo.
Wako wapi magwiji wa siasa kutoka vyama vingine vya upinzani wanaolilia uvunjifu wa kanuni za uchaguzi kila kukicha?
wako wapi wafanyabiashara wakubwa na maarufu wanaokumbana na changamoto ya kodi zisizo na msingi kila kukicha?
Wako wapi viongozi wa dini maarufu wanaohubiri haki za raia kila kukicha na kupinga vitendo vya unyanyasaji kwa raia?
Wako wapi wasanii wanaoimba nyimbo za kulalamikia maisha mabovu kwa watanzania kila kukicha?
Je, wako wapi waandishi wa habari nguli wanaongoza kupinga mikataba mbalimbali ya kidharimu kwa nchi yetu?
Ina maana hawa wote hawajaona umuhimu wa haya maandamano, kuunga mkono na kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala, je kinachoonekana leo kinaleta picha ya utaifa?
Ninachokiona mimi, uoga, unafiki, uzandiki wa watu maarufu kutoka kila nyanja nchini ambao kila kukicha kazi kupiga midomo kwenye keyboard leo wameamua kuonyesha unafiki wao na kufanya maandamano haya yaonekane ni ajenda ya kisiasa ya chama kimoja na si jambo la kitaifa kama ilivyokusudiwa.
Wasalaam.
Tupo baadhi ya aliotutaja tumeshiriki kikamilifu ila hajatuona kwasababu ndio tumeshika zile camera ili nyinyi muone Nafasi na mchango wa watu maarufu katika maandamano ya leo tarehe 24 Januari..wote uliowataja waliamini maandamano ni kitu kisichowezekana.
..naamini mbele ya safari wote uliowataja watashiriki ktk maandamano.
Asiye na akili anachangia pumba kwahiyo huo ndiyo upeo wake 👆 wala asilaumiweWewe ukiona watu wanajadili hoja zinazohitaji kutumia akili, pita pembeni. Maana kama hoja inahitaji akili, na wewe akili huna, utachangia kitu usichokuwa nacho?
Hongera, hongera sana mwandishi msomi na nguli wa kisiasa Ngugi wa thiong.Tupo baadhi ya aliotutaja tumeshiriki kikamilifu ila hajatuona kwasababu ndio tumeshika zile camera ili nyinyi muone Nafasi na mchango wa watu maarufu katika maandamano ya leo tarehe 24 Januari
P
Bao la mbio za mwenge hili!CHADEMA NI CHAMA CHA MBOWE KUPIGA HELA YA RUZUKU NA MKWE WAKE MTEI (Fullstop). Think!
viva CDM viva.2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front
3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
kongole kwako mkuu, nafahamu huna sifa ya kunguru.Tupo na tumeshiriki maandamano kikamilifu, kwanza kwa kuyawezesha kufanyika Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu hivyo kufuatia ushauri huo, hili likafanyika Mbowe: Makubaliano na Jeshi la Polisi yamefikiwa kuwa maandamano yataendelea kama yalivyopangwa na maandamano yakawezekana.
Pili kwa kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
Na tatu, tukashiriki kikamilifu, ndio maana wewe ukaona picha na video, ujue aliyepiga huwezi kumuona ila yupo!.
P
Watu wanadangaika kijinga,,haya maaandamano mbowe na Samia lao Moja wanasiri Fulani ndo maana wote walikuwa wanayapinga wameishiwa kupigwa dafraoWasalaam,
Kwanza nianze kwa kuwapongeza chama cha demokrasia na maendelea (CHADEMA) kwa uthubutu wao wa kuanzisha na kuratibu maandamano haya ya amani kama njia ya kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala na hata jamii ya kimataifa.
Kwa upekee sana nipende kuisifu serikali tawala na vyombo vya usalama hasa vya mkoa wa dar es salaam kwa ukomavu huu wa kuruhusu maandamano haya (japo najua ni kwa shingo upande na maelekezo maalum)
Lipo jambo moja lilikuwa likipigiwa chepuo wakati wa kunadi maandamano haya kuwa yatakuwa ya kitaifa pasi na kujali chama, dini na kadharika na viongozi wa chadema waliwakaribisha watanzania wote kushiriki na kufikisha ujumbe wa changamoto ya ugumu wa maisha na udharimu wa chama na serikali iliyokuwa madarakani.
Hiyo ndio picha niliyoiweka kichwani na kuamka nayo leo nikitegemea kuiona kwenye maandamano haya, lakini hali imekuwa tofauti licha ya maandamano hayo kufana kwa wingi wa watu na shamla shamla za hapa na pale ni kama yamekuwa maandamano ya chama kimoja tu.
Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu huku nikijiuliza maswali yafuatayo.
Wako wapi magwiji wa siasa kutoka vyama vingine vya upinzani wanaolilia uvunjifu wa kanuni za uchaguzi kila kukicha?
wako wapi wafanyabiashara wakubwa na maarufu wanaokumbana na changamoto ya kodi zisizo na msingi kila kukicha?
Wako wapi viongozi wa dini maarufu wanaohubiri haki za raia kila kukicha na kupinga vitendo vya unyanyasaji kwa raia?
Wako wapi wasanii wanaoimba nyimbo za kulalamikia maisha mabovu kwa watanzania kila kukicha?
Je, wako wapi waandishi wa habari nguli wanaongoza kupinga mikataba mbalimbali ya kidharimu kwa nchi yetu?
Ina maana hawa wote hawajaona umuhimu wa haya maandamano, kuunga mkono na kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala, je kinachoonekana leo kinaleta picha ya utaifa?
Ninachokiona mimi, uoga, unafiki, uzandiki wa watu maarufu kutoka kila nyanja nchini ambao kila kukicha kazi kupiga midomo kwenye keyboard leo wameamua kuonyesha unafiki wao na kufanya maandamano haya yaonekane ni ajenda ya kisiasa ya chama kimoja na si jambo la kitaifa kama ilivyokusudiwa.
Wasalaam.