nover
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 239
- 178
Habari wadau. Nina ofisi inayoshughulika na uuzaji mabegi ya nguo pamoja na mgongoni jijini Mwanza. Naitaji kijana wakusaidiana nae majukukumu ya dukani
Sifa; 1) awe anajua kusoma, kuandika na hesabu za hapa na pale
2) Umri asizidi miaka 25
3) jinsia awe wakiume
4) Awe na uzoefu wa biashara ya mabegi angalau mwaka mmoja.
Masalai; Mshahara laki moja kwa Mwezi, posho ya kila siku 2,000 & posho ya kufanya kazi jumapili 7,000
Mawasiliano 0744928467 WhatsApp pekee unitumie majina yako pamoja na uzoefu wako.
Sifa; 1) awe anajua kusoma, kuandika na hesabu za hapa na pale
2) Umri asizidi miaka 25
3) jinsia awe wakiume
4) Awe na uzoefu wa biashara ya mabegi angalau mwaka mmoja.
Masalai; Mshahara laki moja kwa Mwezi, posho ya kila siku 2,000 & posho ya kufanya kazi jumapili 7,000
Mawasiliano 0744928467 WhatsApp pekee unitumie majina yako pamoja na uzoefu wako.