mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Kwa ninavyoona ( mtazamo Wangu binafsi) nafikiri hiyo blog ni kwa ajili ya interns! Kwa sababu kiufanisi na kiuweledi haimake sense na ni vigumu kwa mtu kudeliver let say 5 articles za maneno 1000 au 2000 na zikawa na contents, message + sufficient skills of writing in a required standard!Kama ww ni mwandishi kwa nini unakubali $0.8(~sh 2000) kwa article wakati kikawaida article hulipwa kwa idadi ya maneno.
Ukiaangalia rate za waandishi wengi wa upwork ni $0.05/word
Jifikirie upya kiongozi ni bora kuwa na blog yako binafsi.
Mbona haifunguki?Wepostnow tuunatafuta waandishi wa kujitegemea kujiunga na timu yateu.Utaweza kupata hadi kiasi cha shilingi 460,000 kila mwezi (200$).
Wepostnow inakupa nafasi ya kuandika kwa lugha ya Kiswahili au kiingereza.
Pia mfumo wetu unakupa nafasi ya kufanya kazi muda wowote ule kupitia simu yako ya mkononi au Kompyuta.
Unachopaswa kukifanya ni?
Kuandika maudhui kwa lugha ya Kiswahili au kiingereza(ila Kiswahili itafaa Zaidi)
Unaweza kuandika stori (makala) mbalimbali kama michezo,muziki, simulizi mbalimbali za maisha, elimu kuhusu masuala ya fedha.
Sifa zipi zinakupa nafasi ya kufanya kazi na Wepostnow?
1. Muhitimu wa chuo katika fani yeyote ila mwenye uwezo wa kuandika stori,Makala yeyote ile kwa ufasaha.
2. Uwezo mzuri katika kuandika kwa lugha zote ya Kiswahili na Kiingereza.
Wepostnow inakupa nafasi ya kupanua wigo wako wa uandishi,jiunge sasa nafasi ni yako
NB:Tizama kiambatanisho hapo chini kina maelezo ya namna ya kuweza kujiunga na Wepostnow na kuna Link Mwanzo tu ambapo ukibofya itakupeleka kwenye mtandao wa Wepostnow.
Mbona haifunguki?
Halafu pale juu kwenye website yenu mmeandika kwamba, kwa kila makala moja mhusika (mwandishi) atalipwa USD 0.8! Maana yake ili mwandishi aweze kupata dollar 200 kwa mwezi ni lazima aandae na kuandika makala 250 kwa mwezi mmoja = makala 8 kwa siku moja!
Je, hamuoni kuwa kutakuwa na makala nyingi lakini zisizo kuwa na ubora kutokana na malipo madogo + kazi kubwa! Mwisho Wa siku watu waudharau na kuupuza mtandao/ blog yenu?
Au Moods mnasemaje?
Watanzania bhana.....umeshaambiwa wanatakiwa Waandishi Wewe unaulizia tena sijui Wapigapicha na Wahariri. Hivi unadhani kama wangekuwa wanahitajika ( mnahitajika ) si angewajumuisha tu katika hili Tangazo lake?Mnahitaji cameraman na editor.?
Mimi naweza fanya hayo ila vifaa sina hvy ntategemea vya ofisini.
Em jitambue. Unavoangalia TV labla taarifa ya habari kwahy waliofanikisha mpaka unaona ni hao waandishi tuu.?Watanzania bhana.....umeshaambiwa wanatakiwa Waandishi Wewe unaulizia tena sijui Wapigapicha na Wahariri. Hivi unadhani kama wangekuwa wanahitajika ( mnahitajika ) si angewajumuisha tu katika hili Tangazo lake?
Huna Akili na kamwe hutokuwa nazo Milele. Umeambiwa wanatakiwa Waandishi wa Habari ( Watangazaji wa Luninga ) katika hili Tangazo au Waandishi wa Habari ( Print Media ) wakilengwa haswa? Kama na hao Watu wa Camera na Editors wangekuwa wanatakiwa kwa Upumbavu wako unadhani angeshindwa kuweka ( kutangaza ) hapa? Muwe mnasoma vyema Matangazo na Maelekezo na siyo Kukurupuka tu na Uswahili wenu.Em jitambue. Unavoangalia TV labla taarifa ya habari kwahy waliofanikisha mpaka unaona ni hao waandishi tuu.?
Kama unaona haikuhusu ww tulia tuu.
Sawa boss, umeshinda.Huna Akili na kamwe hutokuwa nazo Milele. Umeambiwa wanatakiwa Waandishi wa Habari ( Watangazaji wa Luninga ) katika hili Tangazo au Waandishi wa Habari ( Print Media ) wakilengwa haswa? Kama na hao Watu wa Camera na Editors wangekuwa wanatakiwa kwa Upumbavu wako unadhani angeshindwa kuweka ( kutangaza ) hapa? Muwe mnasoma vyema Matangazo na Maelekezo na siyo Kukurupuka tu na Uswahili wenu.
Asante kwa kunipa Ushindi stahiki.Sawa boss, umeshinda.