Advanced Mathematics siyo BAM alafu umlipe 300K apeleke uduanzi wake kule.B ya hesabu advance unaijua au unaiskia??.
Then umlipe 300k?..
Acha utani
Hata kama ni BAM..mtu aliyepata B atakuwa amefaulu vizuri na atakuwa ameenda chuo kuchukua Degree..Advanced Mathematics siyo BAM alafu umlipe 300K apeleke uduanzi wake kule.
Yeye anafikiri watu ni zero brain kiasi hicho, kwa kuwacommand.Hata kama ni BAM..mtu aliyepata B atakuwa amefaulu vizuri na atakuwa ameenda chuo kuchukua Degree..
Sasa ndo alipwe 300k kweli?..