Nafasi ya kazi: Natafuta mtu mwenye maarifa ya uokaji (Bakery)

Avs

Senior Member
Joined
Nov 27, 2022
Posts
198
Reaction score
451
Hello.
Natafuta mtu mwenye maarifa ya uokaji (Bakery).

  • Mjuzi katika utengenezaji wa mikate,cakes na maandazi.
  • Mwenye kujua kutumia vifaa vya uokaji eg. Mixer, ovens etc.

Yoyote mwenye interest na baking anaweza ku apply. Ofisi zipo mwanza mjini. Karibuni.
 
Mkuu naomba kupata mawasiliano au jinsi ya kutuma
 
Nipe namba yako inbox nikuunge na mtu anaejua kaz hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…