Impactinglife
Member
- Apr 15, 2019
- 41
- 99
Wanahitajika walimu wa masomo yafuatayo;
1. BOOK-KEEPING/ ACCOUNTANCY na COMMERCE - ngazi ya shahada ( Awe amesoma ualimu au Course za uchumi na Account Lakini mahiri wa kufundisha
2. PHYSICS-MATHEMATICS
awe amesomea ualimu au shahada ya Engineering na mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo Advance na O level
3. BIOLOGY-CHEMISTRY
Awe amesomea ualimu.
Mshahara ni ngazi ya serikali Kwa walimu daraja la 3C.
Shule Iko mkoani Mbeya... Mbeya Mjini
Mawasiliano; 0655087675
1. BOOK-KEEPING/ ACCOUNTANCY na COMMERCE - ngazi ya shahada ( Awe amesoma ualimu au Course za uchumi na Account Lakini mahiri wa kufundisha
2. PHYSICS-MATHEMATICS
awe amesomea ualimu au shahada ya Engineering na mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo Advance na O level
3. BIOLOGY-CHEMISTRY
Awe amesomea ualimu.
Mshahara ni ngazi ya serikali Kwa walimu daraja la 3C.
Shule Iko mkoani Mbeya... Mbeya Mjini
Mawasiliano; 0655087675