NAFASI YA KAZI UALIMU.

NAFASI YA KAZI UALIMU.

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Wanahitajika walimu wa masomo yafuatayo;
1. BOOK-KEEPING/ ACCOUNTANCY na COMMERCE - ngazi ya shahada ( Awe amesoma ualimu au Course za uchumi na Account Lakini mahiri wa kufundisha
2. PHYSICS-MATHEMATICS
awe amesomea ualimu au shahada ya Engineering na mwenye uwezo wa kufundisha masomo hayo Advance na O level

3. BIOLOGY-CHEMISTRY
Awe amesomea ualimu.

Mshahara ni ngazi ya serikali Kwa walimu daraja la 3C.
Shule Iko mkoani Mbeya... Mbeya Mjini
Mawasiliano; 0655087675
 
Sijaelewa hapo course ya uchumi na account ,, kwamba akisoma uchumi awe na account kasoma pia au hata kama kadoma economics peke yake anaweza kuomba
 
Back
Top Bottom