Nafasi ya kazi ya muda (temporary)

Nafasi ya kazi ya muda (temporary)

HHR

New Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
3
Reaction score
2
Habari?

Nahitaji vijana wawili (wakike na kiume) kwa ajili ya kunifanyia kazi ya kutuma email kwa baadhi ya wateja wangu (email marketing) kulingana na orodha ntakayowapa.

- Kwa siku wanatakiwa kutuma email 100
- Kazi ni ya siku 30 na malipo yake ni TSH 200,000
- Watahitajika kuja kufanyia kazi hizo ofisini kwangu
- Wanatakiwa kuwa na laptop inayofanya kazi vizuri
- Wanatakiwa kuwa na uwezo mkubwa wa kutumia kompyuta hasa upande wa internet and email
- Watatakiwa kuanza kazi zao saa mbili asubuhi hjadi saa sita mchana kila siku
- Watakuwa na mapumziko siku ya jumapili kwa kila wiki
- Malipo yao yatafanyika baada ya siku 30
- Nauli ya kuja na kuondoka kazini watajitegemea

Kwa watakaohitaji na wenye vigezo, wawasiliane na mteja wangu kwa namba zifuatazo :

Mr. Duwe
0687 886 949
 
Email marketing , hata kwa simu inaweza kufanyika mkuu
Mie nipo tyr ila sina pc
 
Habari?

Nahitaji vijana wawili (wakike na kiume) kwa ajili ya kunifanyia kazi ya kutuma email kwa baadhi ya wateja wangu (email marketing) kulingana na orodha ntakayowapa.
- Kwa siku wanatakiwa kutuma email 100
- Kazi ni ya siku 30 na malipo yake ni TSH 200,000
- Watahitajika kuja kufanyia kazi hizo ofisini kwangu
- Wanatakiwa kuwa na laptop inayofanya kazi vizuri
- Wanatakiwa kuwa na uwezo mkubwa wa kutumia kompyuta hasa upande wa internet and email
- Watatakiwa kuanza kazi zao saa mbili asubuhi hjadi saa sita mchana kila siku
- Watakuwa na mapumziko siku ya jumapili kwa kila wiki
- Malipo yao yatafanyika baada ya siku 30
- Nauli ya kuja na kuondoka kazini watajitegemea

Kwa watakaohitaji na wenye vigezo, wawasiliane na mteja wangu kwa namba zifuatazo :

Mr. Duwe
0687 886 949
Namba haipatikani mkuu.
 
UPDATE :

Tunashukuru, tumeshapata watu wa kuweza kukamilisha zoezi kutoka kwa kadhaa tuliowasiliana nao. Asanteni.
 
Habari?

Nahitaji vijana wawili (wakike na kiume) kwa ajili ya kunifanyia kazi ya kutuma email kwa baadhi ya wateja wangu (email marketing) kulingana na orodha ntakayowapa.

- Kwa siku wanatakiwa kutuma email 100
- Kazi ni ya siku 30 na malipo yake ni TSH 200,000
- Watahitajika kuja kufanyia kazi hizo ofisini kwangu
- Wanatakiwa kuwa na laptop inayofanya kazi vizuri
- Wanatakiwa kuwa na uwezo mkubwa wa kutumia kompyuta hasa upande wa internet and email
- Watatakiwa kuanza kazi zao saa mbili asubuhi hjadi saa sita mchana kila siku
- Watakuwa na mapumziko siku ya jumapili kwa kila wiki
- Malipo yao yatafanyika baada ya siku 30
- Nauli ya kuja na kuondoka kazini watajitegemea

Kwa watakaohitaji na wenye vigezo, wawasiliane na mteja wangu kwa namba zifuatazo :

Mr. Duwe
0687 886 949

Atumie mashine ake

Nauli ajitegemee

Chakula pia

kazi siku 6 kwa wiki

Huku sio china mkuu
 
Habari?

Nahitaji vijana wawili (wakike na kiume) kwa ajili ya kunifanyia kazi ya kutuma email kwa baadhi ya wateja wangu (email marketing) kulingana na orodha ntakayowapa.

- Kwa siku wanatakiwa kutuma email 100
- Kazi ni ya siku 30 na malipo yake ni TSH 200,000
- Watahitajika kuja kufanyia kazi hizo ofisini kwangu
- Wanatakiwa kuwa na laptop inayofanya kazi vizuri
- Wanatakiwa kuwa na uwezo mkubwa wa kutumia kompyuta hasa upande wa internet and email
- Watatakiwa kuanza kazi zao saa mbili asubuhi hjadi saa sita mchana kila siku
- Watakuwa na mapumziko siku ya jumapili kwa kila wiki
- Malipo yao yatafanyika baada ya siku 30
- Nauli ya kuja na kuondoka kazini watajitegemea

Kwa watakaohitaji na wenye vigezo, wawasiliane na mteja wangu kwa namba zifuatazo :

Mr. Duwe
0687 886 949
Wapi? Maeneo gani
 
Back
Top Bottom