Nafasi ya kazi ya udereva (gari za familia)

Nafasi ya kazi ya udereva (gari za familia)

bundii mnyama

Member
Joined
Sep 15, 2018
Posts
44
Reaction score
18
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 24. Naomba kazi ya udereva kwa mtu binafsi au familia.

Nina uwezo wa kumuendesha mtu binafsi au familia kwa muda wowote ambao muajiri atahitaji.

Leseni ya udereva ni daraja D (class D). Elimu kidato cha sita (form six). Nina nidhamu ya hali ya juu kabisa na pia ni msafi (ntaliweka gari katika hali nzuri muda wote).

Mawasiliano: Whatsapp number: 0675 370 636

Kama kuna kazi au hata ushauri naomba unitafute Whatsapp kupitia number hiyo hapo juu.

Whatsapp pekee samahani.
 
baba anauliza etiiiiiiii

mshahara wa LAKI unakutosha?
 
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 24. Naomba kazi ya udereva kwa mtu binafsi au familia.

Nina uwezo wa kumuendesha mtu binafsi au familia kwa muda wowote ambao muajiri atahitaji.

Leseni ya udereva ni daraja D (class D). Elimu kidato cha sita (form six). Nina nidhamu ya hali ya juu kabisa na pia ni msafi (ntaliweka gari katika hali nzuri muda wote).

Mawasiliano: Whatsapp number: 0675 370 636

Kama kuna kazi au hata ushauri naomba unitafute Whatsapp kupitia number hiyo hapo juu.

Whatsapp pekee samahani.
yani ungekuwa karibu yangu ningekutia mabanz ya kutosha...usiulize kwa nn
 
Back
Top Bottom