Hustler_
Member
- Jan 17, 2022
- 42
- 41
Habari wana ndugu, natumaini mpo salama kabisa na Bwana anazidi kuwabariki katika shughuli zenu za maisha ya kila siku.
Kuna ndugu yangu ana magari mawili, moja ni Hiace na nyingine ni Tata (coaster) na anatafuta madereva wawili wa kuendesha hayo magari na yanapatikana Nairobi yote
Kuna nafasi ya kazi kwa madereva wawili tu wanahitajika wanaoishi nchini kenya, Na kuna vigezo kabla hujaomba nafasi hii unatakiwa kua navyo kama ifuatavyo:-
1)Unatakiwa kuwa mkazi halali wa Kenya
2)Unatakiwa kuwa na leseni ya udereva na kitambulisho cha Taifa
3) Unatakiwa kuwa na uzoefu usiopungua miaka miwili (2)
4) Unatakiwa kuwa na wazamini wawili wanaoishi kenya
Nafasi ni kwa watu wawili tu, kama unahitaji unaweza nitumia cv zako whatsapp +254746746159 , na tutakutaarifu kama ukibahatika kupata nafasi
muwe na kazi njema na Mungu awabariki
Kuna ndugu yangu ana magari mawili, moja ni Hiace na nyingine ni Tata (coaster) na anatafuta madereva wawili wa kuendesha hayo magari na yanapatikana Nairobi yote
Kuna nafasi ya kazi kwa madereva wawili tu wanahitajika wanaoishi nchini kenya, Na kuna vigezo kabla hujaomba nafasi hii unatakiwa kua navyo kama ifuatavyo:-
1)Unatakiwa kuwa mkazi halali wa Kenya
2)Unatakiwa kuwa na leseni ya udereva na kitambulisho cha Taifa
3) Unatakiwa kuwa na uzoefu usiopungua miaka miwili (2)
4) Unatakiwa kuwa na wazamini wawili wanaoishi kenya
Nafasi ni kwa watu wawili tu, kama unahitaji unaweza nitumia cv zako whatsapp +254746746159 , na tutakutaarifu kama ukibahatika kupata nafasi
muwe na kazi njema na Mungu awabariki