Nyamwezi tabora
Member
- Aug 11, 2020
- 23
- 15
Huyu analeta uhuniMkuu inawezekana kweli kumpata binti wa Miaka 19-22 Mwenye uzoefu wa Udaktari wa Mifugo, Tena Dar es Salaam?
Anatafuta mke huyu .. Tumemshtukia!!Huyu analeta uhuni
Naomba tuache utani Mimi sipo kwenye utaniHabari wadau. Anatakiwa doctor wa mifugo mwenye uzoefu na mifugo. Vigezo ... Awe amesomea hiyo na ana documents zinazomuonyesha hivyo, awe Ni mkazi wa dar es salaam, na awe tayari kukaa site kwa muda wote wa kazi zake, Awe Ni msichana umri 19 mpaka 22, Kwa aliye tayari tuwasiliane chap.0712378559.
Tuache utani Basi jamani Mimi sipo kwenye utani namna hii mnaweza sababisha mwenye uhitaji wa kazi akaona labda kuna usaniii kumbe sio.Habari wadau. Anatakiwa doctor wa mifugo mwenye uzoefu na mifugo. Vigezo ... Awe amesomea hiyo na ana documents zinazomuonyesha hivyo, awe Ni mkazi wa dar es salaam, na awe tayari kukaa site kwa muda wote wa kazi zake, Awe Ni msichana umri 19 mpaka 22, Kwa aliye tayari tuwasiliane chap.0712378559.
Sema tu kuwa unatafuta demu na sio Dokta mifugo [emoji1787][emoji23]Habari wadau. Anatakiwa doctor wa mifugo mwenye uzoefu na mifugo. Vigezo ... Awe amesomea hiyo na ana documents zinazomuonyesha hivyo, awe Ni mkazi wa dar es salaam, na awe tayari kukaa site kwa muda wote wa kazi zake, Awe Ni msichana umri 19 mpaka 22, Kwa aliye tayari tuwasiliane chap.0712378559.
Kuna daktari amegraduate na miaka 22?Tuache utani Basi jamani Mimi sipo kwenye utani namna hii mnaweza sababisha mwenye uhitaji wa kazi akaona labda kuna usaniii kumbe sio.
Nashukuru wote mliokuwa na nia ya kufanya kazi na sisi kwa Sasa nafasi imeshapata mtu tayari kupitia humu jamii forum. Sasa naomba tena msipige simu na kwenye WhatsApp msitume tena document. Asanteni sana.Habari wadau. Anatakiwa doctor wa mifugo mwenye uzoefu na mifugo. Vigezo ... Awe amesomea hiyo na ana documents zinazomuonyesha hivyo, awe Ni mkazi wa dar es salaam, na awe tayari kukaa site kwa muda wote wa kazi zake, Awe Ni msichana umri 19 mpaka 22, Kwa aliye tayari tuwasiliane chap.0712378559.