Nafasi Ya Kazi

Sirleh94

Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
12
Reaction score
9
Naitwa Salehe nimemaliza elimu ya Bachelor of Engineering in Civil 2024 (DIT). Pia ni Civil Technician mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya mitatu katika kazi za ujenzi hususan ni Majengo. Kwa yeyote atakayehitaji mtu wa usimamizi wa kazi zake naomba tuwasiliane 0654224037.... Makazi ni Dar es Salaam.
 
Yan umemaliza tuu chuo unataka uwasimamie ambao wamehustle mtaani miaka zaidi ya 10 πŸ˜‚ πŸ˜‚ kweli wanachuo mnapenda mserereko wemsubiri mama atangaze ajira tuu mtaa hauendi hvyo unavyotaka wewe Mimi na degree yangu ya umeme napigishwa kazi na mtuu wa veta tena aliesoma basic ya mwaka mmoja na ananifukuza kazi akitaka na ananirudiaha siku akitaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Acha kukariri maisha!! Nilishasoma diploma nikaenda kufanya kazi miaka mi3, nikajiendeleza na bachelor huku pia nikiwa nafanya kazi sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…