Serikali inapaswa kuongeza idadi wa madaktari wa kike ,ili Wawa hudumie Wana wake pale wanapofika hospitalini.
Kufanya hivyo kutapunguza unyanyasaji wa kijinsia na kuongeza ufanisi wa kazi.
Kwani ni vyema mwanamke akihudimiwa na mwanamke mwenzie ,hasa pale mgonjwa anapotakiwa kupata matibabu ya faragha ,kama vile kujifungua na zingenezo.
Kitendo Cha daktari wa kiume kumuhudumia mwanamke wakati wakiwa faragha kinatweza utu wa mwanamke .
Na kuleta unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake wengi ,hi vyo serikali inapaswa kusimamia kikamilifu hatua hizo ili kuleta ustawi wa mwamke katika jamii yetu.
Wahudu wa kike na madaktari wa kike wahudumie wagonjwa kulingana na jinsia katika magonjwa au mazingira ambayo yatamuhifadhi mwanamke na udu wake.
Kufanya hivyo kutapunguza unyanyasaji wa kijinsia na kuongeza ufanisi wa kazi.
Kwani ni vyema mwanamke akihudimiwa na mwanamke mwenzie ,hasa pale mgonjwa anapotakiwa kupata matibabu ya faragha ,kama vile kujifungua na zingenezo.
Kitendo Cha daktari wa kiume kumuhudumia mwanamke wakati wakiwa faragha kinatweza utu wa mwanamke .
Na kuleta unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake wengi ,hi vyo serikali inapaswa kusimamia kikamilifu hatua hizo ili kuleta ustawi wa mwamke katika jamii yetu.
Wahudu wa kike na madaktari wa kike wahudumie wagonjwa kulingana na jinsia katika magonjwa au mazingira ambayo yatamuhifadhi mwanamke na udu wake.
Upvote
2