Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Mitandaoni watu wote wanaonekana kutokukubaliana na Mzee Wasira 80yrs kuendelea kuwepo kwenye nafasi za juu za uongozi wa chama. Its like siyo maono ya wana CCM kuwa na viongozi hawa tena kwenye ngazi muhimu kama hizi kwani wanaleta mkwamo wa fikra kwa Gen Z ndani ya chama.
Ushukuriwe utaratibu wa sasa unaowataka wajumbe kupiga kura ya ndiyo kwa jina linaloletwa na mwenyekiti Contrary naamini ingekuwa inagombewa Wasira Mwenyewe asingekubali kuchukua fomu.
Je, kwanini chama kimeona ni wakati wa 80yrs?
Ushukuriwe utaratibu wa sasa unaowataka wajumbe kupiga kura ya ndiyo kwa jina linaloletwa na mwenyekiti Contrary naamini ingekuwa inagombewa Wasira Mwenyewe asingekubali kuchukua fomu.
Je, kwanini chama kimeona ni wakati wa 80yrs?