Umenikumbusha goli la mkonoHumu kulikuwa na wimbo wa waamuzi kuwabeba timu fulani ili kubeba ubingwa, lakini waimba wimbo huo hawaonekani pale timu yao ya Simba ikibebwa na waamuzi na kupata matokeo. Leo Simba imepata point 3 kwa goli la offside, wakati Freddy Michael funga funga anapokea mpira alikuwa katika eneo la kuotea lakini mshika kibendera akaacha ili mradi timu kubwa iliyobebwa kwa viporo isishindwe kupata nafasi ya kwenda klabu bingwa.
Kama nyie mlivyokubali kununuliwa kwa kufungwa 7-2 kwa ujumla, je kwanini wengine wasikubali kununulika? Hata Belouizdad, Medeama, Al Ahly na Mamelodi walikubali kununulika ili Yanga isifungwe.Na ubingwa nao wa kununua tu kadi nyekundu zinafutwa tu baada ya kupata point 3 magoli yanakayaliwa tu
Wahi kushitaki FIFA.Humu kulikuwa na wimbo wa waamuzi kuwabeba timu fulani ili kubeba ubingwa, lakini waimba wimbo huo hawaonekani pale timu yao ya Simba ikibebwa na waamuzi na kupata matokeo.
Leo Simba imepata point 3 kwa goli la offside, wakati Freddy Michael funga funga anapokea mpira alikuwa katika eneo la kuotea lakini mshika kibendera akaacha ili mradi timu kubwa iliyobebwa kwa viporo isishindwe kupata nafasi ya kwenda klabu bingwa.
FIFA ya nini adhabu yenu ni kipigo kitakatitfu kila tukikutanaWahi kushitaki FIFA.
Sasa mayowe ya nini kafungwa Dodoma mayowe yanatokea jangwani.FIFA ya nini adhabu yenu ni kipigo kitakatitfu kila tukikutana