Pre GE2025 Nafasi ya Urais: Dkt. Samia atashinda uchaguzi huu. Ni Wabunge gani wa CCM wana uwezekano mkubwa kutetea viti vyao Bungeni 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio endapo atagombea,

Ni

HATOGOMBEA!!
 
Kwetu Mbeya upepo hautabiriki ni kama vile vita vya Urusi na Ukraine!Ukiongeza na vita vya mashariki ya kati na DRCKongo.
 
Vita ni Kali mkuu,we acha tuu!
ndiyo siasa ilivyo,
Lakini pia hiyo vibrant politics inaongeza value ya Jimbo, pia inachochea maendeleo yenye impacts direct kwa mwananchi mpaka wa kule ndani ndani kabisa πŸ’
 
ndiyo siasa ilivyo,
Lakini pia hiyo vibrant politics inaongeza value ya Jimbo, pia inachochea maendeleo yenye impacts direct kwa mwananchi mpaka wa kule ndani ndani kabisa πŸ’
Sasa hivi ukienda na gari Kali waliopo Bungeni wanakuwa na hofu!Kumbe umeenda huko msibani au harusini.wanadhani umeenda kuweka Nia
 
Mheshimiwa chawa kwenye Moja na mbili
 
Sasa hivi ukienda na gari Kali waliopo Bungeni wanakuwa na hofu!Kumbe umeenda huko msibani au harusini.wanadhani umeenda kuweka Nia
Mwanasiasa visionary,
mpaka sasaivi anafaa kua awe tayari amejitathimini na kujipima iwapo iwapo ana record na feedback njema ya kueleweka vizuri na kukubalika kwa wananchi, au aamue tu kiungwana kuelekeza jitihada zake kwenye mambo mengine binafsi ya kifamilia, au labda kujiandaa na uchaguzi wa nyakati nyingine tena πŸ’
 
Mwaka 2025 kuna awamu ya 7.

Chadema mlidai Tume Huru ya Uchaguzi na serikali yetu sikivu inayowajibika ipasavyo kwa wananchi wake ikasikia kilio chenu kwahiyo msije kutupigia kelele za kuibiwa kura...
 
Wanawaza suti zao watazivalia wapi? Kwenye kilimo hakuna suti ni goombot na marapurapu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…