Pre GE2025 Nafasi ya Urais: Dkt. Samia atashinda uchaguzi huu. Ni Wabunge gani wa CCM wana uwezekano mkubwa kutetea viti vyao Bungeni 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
unaweza kua mkulima au mfugaji na ukavaa suti vizuri sana gentleman,

Ni kujipanga tu πŸ’
Kuna Utamu wa kuitwa muheshimiwa na kukaa Bungeni!Kuna mbunge mmoja alisahau kuwa kaenda na gari baada ya kuangukia pua kwenye kata ya kwao!
 
Kuna Utamu wa kuitwa muheshimiwa na kukaa Bungeni!Kuna mbunge mmoja alisahau kuwa kaenda na gari baada ya kuangukia pua kwenye kata ya kwao!
hiyo title haipoteagi gentleman πŸ’
 
Labda atashinda na njaa, yaani wabara tuchangue mzanzibar?
Si ndo hapo Sasa, wanashindwa kutoa tathmini ya maana. Nipo ndani ndani huku, aise wananchi Wana morale ya kujiandikisha na wanasema uchaguzi ujao wataiba kura Hadi waone aibu. Kikubwa upinzani uendelee kuwekeza huku ndani ndani maana ndiyo ilikuwa silaha kubwa ya mboga mboga.
 
wenye njaa na wawaza kula tu wanapeana moyo kinyoongeeee 🀣
 
Sema kuna majimbo yana wanaCCM dhaifu kisiasa wanaonyanyaswa na wapinzani. Karatu ni jimbo lenye wagombea dhaifu na ambao mara nyingi huonekana nyakati za uchaguzi tu. Mbunge aliyepo kwa sasa alibebwa tu na JPM ila hafai.
 
Yap watu wamechoshwa na ufisadi wa watu wachache
 
umewataja wabunge wa CCM, ni nani atakae wareplace kutoka ndani ya CCM yenyewe?πŸ’

kua mungwana tu upinzani hakuna bukoba boss
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mtu mjinga tu au anayefaidika na huo uchaguzi wa kihuni ndio anaweza kujitokeza kushirki huo upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mtu mjinga tu au anayefaidika na huo uchaguzi wa kihuni ndio anaweza kujitokeza kushirki huo upuuzi uitwao uchaguzi.
Tunatokaje hapa mkuu??
 
Tunatokaje hapa mkuu??
Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura. Lakini kuendelea kushiriki kwenye uchaguzi katika mazingira haya, ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…