Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Kuna Utamu wa kuitwa muheshimiwa na kukaa Bungeni!Kuna mbunge mmoja alisahau kuwa kaenda na gari baada ya kuangukia pua kwenye kata ya kwao!unaweza kua mkulima au mfugaji na ukavaa suti vizuri sana gentleman,
Ni kujipanga tu 🐒