Nafasi ya Yanga kwenda kushiriki kimataifa imeyeyuka

Nafasi ya Yanga kwenda kushiriki kimataifa imeyeyuka

Sidhan kama Yanga ilikuwa imejiandaa kwenye mashindano ya Caf au ilikuwa inayafikiria hayo mashindano this year kutokana na mwenendo wa kikosi chao.
 
Leo CAF imetoa orodha ya nchi 12 ambazo zitapeleka timu 4 kwenye michuano ya klabu Africa.

Yanga ilikuwa ikitegemea kwamba Tanzania itapeleka timu 4 baada ya libya kufuta ligi yao kipindi cha Corona ,ila leo kwenye orodha Libya ipo pia nafasi ya 12.

Kwahiyo Tanzania itawakilishwa na vilabu viwili ambavyo ni Simba na Namungo.
Ni vyema ukatupa na vyanzo vya hii taarifa ulipo itoa
 
Kama libya akifungiwa maana mpaka sasa timu yake haishiriki mchezo wowote tanzania anaweza pewa nafasi ya kuwakilisha timu nne
Adjustments.jpg
 
Hii ni hujuma Sisi timu ya wananchi lazima tupeleke malalamiko CAF haiwezekani libya nchi yenye vita ishiriki wakati sisi tuna amani ,hii hujuma haikubaliki
Wewe ni mbumbumbu fc wala sio mwananchi fc.
 
Kwahiyo hii ndo source yako[emoji1787]

Libya mpaka sasa alishajitoa kushiriki kutokana na COVID19 hana timu mwakilishi tanzania tunaweza kupewa hizo nafasi
 
Kwahiyo timu za Libya zinachukulia timu ipi na ipi? Na timu za Libya zitachukuliwa kwa kufuata msimamo wa msimu upi?
Basi nimeingia website ya CAF nimeona wameshaainisha kila kitu kwa timu zilizoshindwa kumaliza ligi zao kutokana na sababu mbali mbali.
 
Back
Top Bottom