Nafasi ya Yanga kwenda kushiriki kimataifa imeyeyuka

Eeeh itakuwaje sasa? ... Hapa yupo TK master, tonombe,saprong,mwamnyeto...etc ..hawakuconsider yote haya?
 
Usichoelewa ni kuwa kuna nchi kama Angola, hazijaruhusu michezo mpaka leo. Yaani michezo hairuhusiwi kufanyika.
Kuna nchi pia haziruhusu kuingia mpaka uwe qurantined kwa wiki mbili.
Kwa ufupi, haya mashindano yataishia kufutwa, kuna uwezekano mkubwa.
Endelea kuota hivyo hivyo
 
Waswahili waajabu sana.
Ingetokea kumbe kuna nafasi nne, halafu Yanga hajasajili vizuri, hadthi zingekuwaje humu.
 
Wananchi wamesajili kwa mbwembwe wakiamimi watapata nafasi moja ya uwakilishi lakini ndiyo hivyo.
 
Usichoelewa ni kuwa kuna nchi kama Angola, hazijaruhusu michezo mpaka leo. Yaani michezo hairuhusiwi kufanyika.
Kuna nchi pia haziruhusu kuingia mpaka uwe qurantined kwa wiki mbili.
Kwa ufupi, haya mashindano yataishia kufutwa, kuna uwezekano mkubwa.
Wewe unajua ratiba inaanza lini? Kwahiyo huyo Corona atakuwepo hadi huo muda?

Kwa taaarifa tu, michezo inaanza Novemba 20.
 
Wewe unajua ratiba inaanza lini? Kwahiyo huyo Corona atakuwepo hadi huo muda?

Kwa taaarifa tu, michezo inaanza Novemba 20.
Kwa hiyo?
Mfano mkipangiwa na Gor Mahia November 20. Dirisha na registration linaisha October 20, kila nchi iwe imeshasajili.
Mkifika Kenya mnapimwa kwanza, halafu quarantine wiki mbili.
Rwanda, uganda the same. Ghana, Angola the same. Hii ni Africa, siyo Europe.
 
Mosi: Hatua zozote zilizowekwa ktk nchi yoyote kupambana na Covid sio za kudumu zinabadilishwa wakati wowote,fuatilia uone.Tanzania kwenyewe tu hakuna tena social distance viwanjani.

Pili: Wanamichezo wanakuwa wanapewa hadhi ya wawakilishi wa nchi, hizo Hatua haziathiri kila MTU anayeingia ktk nchi husika, usidhani Kiongozi Fulani anayewakilisha nchi akiingia atapewa treatment sawa na MTU wa kawaida.

Tatu: Zipo njia nyingi mbadala wa Quarantine 14 days, unaweza kwenda na Kipimo ulichopimwa 14 days ukiwa huko ulikotoka na siku unaingia unapimwa tena hapohapo ndio mnaingia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…