Nafasi za ajira kiwanda cha saruji cha Dangote

Nafasi za ajira kiwanda cha saruji cha Dangote

Paw ondoeni hili tangazo watu wataibiwa sio muda

Dangote hatumii email za kijinga hivo
 
Mi naona kama tangazo ni la kitapeli, naomba wahusika wa kampuni wajitokeze eidha wakanushe au kubali maana hakosekani mwana member wa jf hapo dangote company.
 
Tangazo lina ukakasi hili ...
Yaani mwajiri anaanza kwanza kukutamanisha malipo kabla ya vigezo. Kwanini ufocus na malipo ??

Email yenyewe imekaa kimchongo.
Jamii Opportunities JamiiCheck fuatilieni hili.
 
Tunapo pata fursa kama hizi tunachamgamkia, vijana njoni huku
Wewe ni tapeli na ndiyo maana umefungua account mpya kwa ajili ya kufanyia utapeli wako. Kwanini usitumia ile account yako ambayo watu wanaijua na kupitia hiyo wanakuona mtu reliable mwenye reputation?
 
Ajira zote za Dangote huwa zinapitia kwenye portal yao.
Sasa wewe unaleta mambo ya gmail hapa ili uwapige matutusa wenzio.
 
Hio email hio kuna mtu atapigwa sio muda
Font za tangazo na domain email ni pigo tosha kabisa
 
Back
Top Bottom