Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

Nafasi za ajira, walimu 5,000 wanahitajika Kenya

Sasa mwalimu hana ujuzi wowote ana funza nini?ndo mana GDP kubwa ila haina impacts[emoji848]

Duh umepata msosi hapo Buza kabla kuanza kuuliza maswali ya namna hii, kazi yoyote ili kupata ujuzi lazima uwe umewahi kuajiriwa sehemu, na siongei kuhusu internship.
 
Duh umepata msosi hapo Buza kabla kuanza kuuliza maswali ya namna hii, kazi yoyote ili kupata ujuzi lazima uwe umewahi kuajiriwa sehemu, na siongei kuhusu internship.
Msosi sio shida kwangu mkulima mzuri na mfanyakazi niliyejitosheleza mambo ya buza mi siyajui.jikite kwenye issue mtu hana ujuzi analipwa huko kenya?
 
Duh umepata msosi hapo Buza kabla kuanza kuuliza maswali ya namna hii, kazi yoyote ili kupata ujuzi lazima uwe umewahi kuajiriwa sehemu, na siongei kuhusu internship.
U walimu ni fani na taaluma we nyang'au. unasomea,unapata ujuzi (BTP) kwa hapa bongo,then kuna mitihani uki faulu baada ya hapo unaajiliwa.sasa kama huko hawana ujuzi it means hawaendi field?
 
Sijajua kama ni mimi nashindwa kusoma au ninachokiona ni kweli, eti kima cha chini kwao kwa mwalimu ni TSh 140,000.00 ilhali kwetu ni Tsh 500,000.00
Hebu check hii link labda nitakua najikanganya Kima cha chini cha Mshahara
Yaani kima cha chini cha mshahara kwa walimu nchini Tz ni KES 6,080 tu, kwa mwezi? [emoji15] Wakati kwa wenzao nchini Kenya ni KES 23,500 na marupurupu juu yake? Inamaana kwamba vijakazi wa nyumba nchini Kenya wanalipwa zaidi ya mara mbili ya mshahara wa walimu kwenye level za chini nchini Tz? [emoji1][emoji1][emoji1] Alafu eti hao hao walimu ndio utawasikia wakiimba kwa nguvu ...sisiemu mbere kwa mbereee!... na hapo nyongeza hawajapata kwa miaka zaidi ya mitano. Govt Sets New Salary for All House Helps At Kshs 13,500
 
Laki tano kwa Mwl wa degree

Nyie hapo 140,000 Tshs
Hizo tunawalipa wafanyi kazi wa nyumbani, dada ambao tunaishi nao wanakula na kulala kwetu.
 
Nyie hapo 140,000 Tshs
Hizo tunawalipa wafanyi kazi wa nyumbani, dada ambao tunaishi nao wanakula na kulala kwetu.
140k ni kima cha chini cha mfanyakazi we mbwiga

Ulishaona wapi mwalimu akilipwa 140k?
 
Narudia tena, walimu walioko hko hawajakidhi vigezo..sasa we endelea kuumia
Hawakidhi vigezo wangeajiriwa? Hahaha teseka tu lakini ukweli ni kwamba walimu wengi wa kenya tena wenye masters ndio wanaongoza kuja kuganga njaa Tanzania, akikosa Tanzania anaenda gulf kuwa muosha vyoo. 😂😂😂😂
 
Hawakidhi vigezo wangeajiriwa? Hahaha teseka tu lakini ukweli ni kwamba walimu wengi wa kenya tena wenye masters ndio wanaongoza kuja kuganga njaa Tanzania, akikosa Tanzania anaenda gulf kuwa muosha vyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vigezo vya ualimu kenya wa bongo hawezani navyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie hapo 140,000 Tshs
Hizo tunawalipa wafanyi kazi wa nyumbani, dada ambao tunaishi nao wanakula na kulala kwetu.
Kwa hela ya madafu mahouse girl nchini Kenya wanalipwa 310,500. Alafu hapo pamoja na makazi na chakula waajiri wao kisheria wanafaa wawalipie hela za NHIF na NSSF pia.
 
Hawakidhi vigezo wangeajiriwa? Hahaha teseka tu lakini ukweli ni kwamba walimu wengi wa kenya tena wenye masters ndio wanaongoza kuja kuganga njaa Tanzania, akikosa Tanzania anaenda gulf kuwa muosha vyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwalimu wa masters eti aje agange njaa tz[emoji23][emoji23]
Ukiona wa degree na master anafunza hko basi ujue ni shule ya kibinafsi na inampa mpunga wa maana.

Yupo shangazi yangu deputy head teacher aliachishwa kazi enzi za kibaki akapigiwa dili sai anafanya kazi tz.

Yani alipigwa vita ikashindikana manake kawazidi kw kila kitu, ikabidi wamuandame na uchawi kw sasa yupo vizuri twashukuru
 
Mnataka muwapeleke KDF walipowashindwa Alshabab.
 
Mwalimu wa masters eti aje agange njaa tz[emoji23][emoji23]
Ukiona wa degree na master anafunza hko basi ujue ni shule ya kibinafsi na inampa mpunga wa maana.

Yupo shangazi yangu deputy head teacher aliachishwa kazi enzi za kibaki akapigiwa dili sai anafanya kazi tz.

Yani alipigwa vita ikashindikana manake kawazidi kw kila kitu, ikabidi wamuandame na uchawi kw sasa yupo vizuri twashukuru.
Kwani aliekuambia wanaajiriwa serikalini ni nani? 😂😂
Serikali haijawahi kuajiri asie Mtanzania

Ni huko huko private wanaishia kuzulumiwa lakini hivyo hivyo tu wanakomaa 😅😅😅😅
 
Kwani aliekuambia wanaajiriwa serikalini ni nani? [emoji23][emoji23]
Serikali haijawahi kuajiri asie mtanzania

Ni huko huko private wanaishia kuzulumiwa lakini hivyo hivyo tu wanakomaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Walimu wa kenya wanadunda sana tz, mbna unajitoa ufahamu[emoji23][emoji23]
Ninao kadhaa ninaowajua, eti jamaa anasimamiwa gari pamoja na nyumba..yani unaona mayb hatujawai fika hko nn..

Tena huaga mnawaendea kinyume mpka kuwaroga, kuna mwngine alifanya kuhongwa na shule ingine na akaahidiwa mshahara mnono zaidi..
Tunajua
 
Walimu wa kenya wanadunda sana tz, mbna unajitoa ufahamu[emoji23][emoji23]
Ninao kadhaa ninaowajua, eti jamaa anasimamiwa gari pamoja na nyumba..yani unaona mayb hatujawai fika hko nn..

Tena huaga mnawaendea kinyume mpka kuwaroga, kuna mwngine alifanya kuhongwa na shule ingine na akaahidiwa mshahara mnono zaidi..
Tunajua
Hahahaha ziki ndio zinawakimbiza kwenu mpaka mnakuja kupigwa kipapai ugenini 😂😂😂😂

Mnafanyiwa vitimbi vya kila namna lakini bado mnakomaa yaani hapo ndio ujue namna mlivyo na ziki kwenu,

Mtanzania asikie tu unamsimanga kwa jirani, kesho unakuta keshafungasha vitu vyake safari, yaani mtanzania humnyanyasi hata kama unampa shilling ngapi, akihisi tu hapa sipo comfortable tayari keshaamsha majeshi, sasa ninyi mpaka mnalogwa lakini bado tu mpo 😂😂😂😂

Inaonesha namna gani maisha yalivyo mazuri huku kuliko huko jehanam kwenu.
 
Hahahaha ziki ndio zinawakimbiza kwenu mpaka mnakuja kupigwa kipapai ugenini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mnafanyiwa vitimbi vya kila namna lakini bado mnakomaa yaani hapo ndio ujue namna mlivyo na ziki kwenu,

Mtanzania asikie tu unamsimanga kwa jirani, kesho unakuta keshafungasha vitu vyake safari, yaani mtanzania humnyanyasi hata kama unampa shilling ngapi, akihisi tu hapa sipo comfortable tayari keshaamsha majeshi, sasa ninyi mpaka mnalogwa lakini bado tu mpo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Inaonesha namna gani maisha yalivyo mazuri huku kuliko huko jehanam kwenu.
Basi watanzanzia mnajua nn kuhusu kupambana!! labda wivu, uzembe, uchawi na kupiga soga[emoji23][emoji23]
Mkenya ana survive popote pale as long as anapata mpunga wa maana.
 
Back
Top Bottom