Mdadamwema.
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 156
- 173
Kabisa mama hatowaacha salama,ila naona kama wanaelekea kufeli hivi, ingawa hatuombei hayo, naona kama speed yao iko chini,labda ngoja tuonewatatoa taarifa leo na kesho lasivyo utawasikia tu huko wakihangaika na kitakachowakuta wanachezea serikali ya mama samia.
Huwa najiuliza itakuwa mchukua muda gani kwa baadhi ya watu kufahamu want is meant for someone to be a computer scientist(or any related career) hususani Tanzania ...wengi katika watu wanafikiria kazi za computer any one can do alieyesoma short course za computer application.... Computer application ni kadude kadogo(say 1%) ya computer computer scienceUmeandika Upupu Tuuu,, hao wasomi wanausumbufu gani? yaan Ww unauhakika Kuwa Wasomi ni wasumbufu kuliko Form 4 ebu lete ushahidi hapa....Eti uchukue kilaza aliyepata mswaki wa hesabu akahesabu watu unamuacha Msomi mwenye uelewa mpana zaidii wa hesabu na Technologia...... Alafu unapanua Domo lako kuongea na kuandika hovyo hovyo,,,,,,, Ebu waacheni waliokomaa Na Elimu mkashindwa kuwaajiri Wapate pesa za kujiajirii
Mipango nini. ? Na hawajatoa majina ya makarani na wasimamizi wa maudhui kwa kibaha mji??Hoja yako ina Mashiko! Bokomnemela (Kibaha) Msimamizi wa TEHAMA alieitwa kwenye Interview ni Mmoja tu! Hana mshindani!
Pitia kweny ubao Wa kataYaaan ilemela wako kimya huku nyamagana wilaya znazoangaliana pua wameshatoa majina ,hii nchi n ngumu sana
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Tu hela twa sensa tunapiganiwa balaa.Mipango nini. ? Na hawajatoa majina ya makarani na wasimamizi wa maudhui kwa kibaha mji??
haieleweki mkuuIvi lugha ya usaili wa sensa ni ipi
Mkuu vipi umejaribu kucheck na kwenye kata kabisa? Labda watakua wameweka kimya kimya!!Yaaan ilemela wako kimya huku nyamagana wilaya znazoangaliana pua wameshatoa majina ,hii nchi n ngumu sana
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Si lipo telegram unasearch grupu unalipata ,hilo grupu lina madini siriaz na taarifa za maana kuhusu Kazi ,vibarua na ajira.Mwenye link ya group la HR-TANZANIA , naomba aweke hapa maana huwa kuna discuss za maana kule kuhusu maswala ya sensa. Sema nilileft
Ukipata na la Sokon 1 tujuzanePDF kata ya Sakina Arusha.
Huwez mjua, We subiria posho zenu mlizozulum wananch.
Mwenye pdf kata ya osunyai Arusha msaukiku
Mwenye pdf kata ya osunyai Arusha msaada
Nakwambia Ngoma Bado droo nmepita pale katani Moda flani hakuna kituMkuu vipi umejaribu kucheck na kwenye kata kabisa? Labda watakua wameweka kimya kimya!!
Jenga hoja acha vihoja.Kila wakati unadandia yasiyohusika.Tunajadili simu au matumizi ya neno kadhaa?Hii Tecno unayo tumia ndio shidaa lkn kama ungekuwa ni Non Tecno User wala kusingekuwa na shidaa
Tutamatishe kwa kukukabidhi ushindi