luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Leo wameliwa chengaMbona leo watu hawaweki maswali humu? [emoji4]
Mwalimu wa Diploma ana kutana na msailiwa ana Masters degree ...anajua vitu vingiiiiii yaan japo ndio kusema akili kubwa inachuqnq na akili ndogoHata watakuwa ni walimu
Maana walimu wa kuu ndio walikuwa wanafanya usaili
Siyo pote wanafanya hivyo,inabidi aende akaone wanafanyeje sehemu husika,kwetu sisi ilikuwa unafika-unaandika jina kwenye orodha,unawapatia vyeti then interview inaendelea.Kwani upo kata ipi ?
Sio rahisi kwani utaratibu upo hivi;unachukua screenshot ya jina lako kwenye simu kutoka kwenye mkeka huku mkononi ukiwa na vyeti vyako 4m4 na cha kuzaliwa jina liliopo kwenye screenshot linahakikiwa kama ndio lako kwa kulinganisha na liliopo kwenye cheti .
haya ndioo maswali? YenyeweMkutano wa mwisho katika mtaa wako ulikuwa ukihusiana na nini?
Ndiohaya ndioo maswali? Yenyewe
maswali ni mangapi? Tupia mengine tofauti na hiloNimetoka kwenye usahili swali lililonipiga chenga na kutatazika kwenye kujibu ni ; umepelekea sehemu kuna shida ya usafiri utafanyaje ? bado nusu niseme nitakodi bodaboda.
Maswali ni matatu tu hayazidi tanomaswali ni mangapi? Tupia mengine tofauti na hilo
Maswali yanakua kama manne hivi matatu ya possible kama umesoma geography advance topic ya Population kipengele cha census hayawezi kukushinda hata mimi ningejibu bila hata kupata hints za possible maana nilipiga chabo kwenye foleni jamaa alikua na mkeka wa maswali na majibu Pdf mwengine kanote kwenye kidaftari kidogo huku akisoma.maswali ni mangapi? Tupia mengine tofauti na hilo
Mie naenda nikapime upepo aisee.Kama jina halijarud we nenda itajulikana hukohuk hii nchi yetu sote.
Nacheka kwanza Alafu Najibu Mm Nimzalendo Ikitokea Hivyo nitakubali kwa Manufaa ya Nchi yangu lkn sidhani kama serikali inaweza kufanya Hivyo kwa Jambo Amabalo linafanyika kwa kila baada ya Miaka kumi hivyo Naamini serikali lzm Itawalipa watakaojitolea kufanya kazi.Swali jingine ni..
Upo tayari kufanya hii kazi ya sensa bila malipo yoyote ikiwa jina lako limechagiliwa??
Mimi ni form 4 anayejihic ana akili sana na uelewa mkubwa aniulize swal lolote kuhus technology. Tumechoka kudhalaulikaMyself sion haja ya kubishana kuhusu kiwango cha elimu hapa nlipo nna degree ya uhasibu IFM Graduator but kwa kaz hii ya sensa na figisu zake yeyote ambaye anajua kuhesab na kutumia smart anawez kufany mtaji miguu tu na nyota yak.
Nb; kwa nafasi ya ukarani tu
Wanashindwa kutofautisha kati ya elimu na uelewaNa yote hiyo ni kutokana na watu kukosa nafasi
Ujuaji mwingi unaweza kukukosesha nafasi ndgu yangu, hayo maelezo yote ya nini wakati kuna wenzio 200+ wanasubiri huo usaili huko nje.Nacheka kwanza Alafu Najibu Mm Nimzalendo Ikitokea Hivyo nitakubali kwa Manufaa ya Nchi yangu lkn sidhani kama serikali inaweza kufanya Hivyo kwa Jambo Amabalo linafanyika kwa kila baada ya Miaka kumi hivyo Naamini serikali lzm Itawalipa watakaojitolea kufanya kazi.
Au cio [emoji23][emoji23][emoji23]Ujuaji mwingi unaweza kukukosesha nafasi ndgu yangu, hayo maelezo yote ya nini wakati kuna wenzio 200+ wanasubiri huo usaili huko nje.
Jibu ndiyo nipo tayari.
Una mzuka sana yaani usahili umefanya jana leo unaulizia mchakato wa majina mapya .Majina ya waliochaguliwa ngazi ya kata katika halmshauri vipi yatatolewaje , kwa umma tujione. Kama tumo au hatumo ??