Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ndo ivo, majibu ya ndio jibu ndiyo ya hapana jihu hapana.Au cio [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787] kumekuchaMimi ni form 4 anayejihic ana akili sana na uelewa mkubwa aniulize swal lolote kuhus technology. Tumechoka kudhalaulika
Mkuu hvi vitongoji vinatofautiana ukubwa kati ya eneo la lingine but tusubiri muongozoHivi makarani wanahitajika wangapi kwenye kitongoji kimoja?
Leteni data kamili tufanye tathmini kuwa kuna uwezekano wa kuchaguliwa.
Majina ya waliochaguliwa ngazi ya kata katika halmshauri vipi yatatolewaje , kwa umma tujione. Kama tumo au hatumo ??
Hapo majina ni kusubiri saana labda hadi 27/28 huko.Una mzuka sana yaani usahili umefanya jana leo unaulizia mchakato wa majina mapya .
Nakushauri uanzishe uzi kukata vidomodomo mkuu.Mimi ni form 4 anayejihic ana akili sana na uelewa mkubwa aniulize swal lolote kuhus technology. Tumechoka kudhalaulika
Kata yetu ukimaliza interview wanakwambia ijumaa majina ya waliochaguliwa yatabandikwa ofisi ya kata. So nadhani watabandika as soon as possible.Majina ya waliochaguliwa ngazi ya kata katika halmshauri vipi yatatolewaje , kwa umma tujione. Kama tumo au hatumo ??
πππ naona ramli zinaanza mdogo mdogo baada ya kuisha kwa siku mbili tatu hizi.Hapo majina ni kusubiri saana labda hadi 27/28 huko.
Usiweke akilini hii ni ramli.
Hawawezi kukosa kupotosha watu kimchongo na hata ikitokea hawewezi kupitisha wote kwa koneksheni lazima itabaki asilimia fulani ya nafasi za kugombania wenzangu na mimi.Kuna maeneo hizi kazi kama huna konekshen hupat
Kwanza twambie, wewe umejibu namna gani?Wadau nimeulizwa swali linasema: endapo mafunzo ya sensa yataanza 20/07/2022 hadi 20/09/2022 je nitakuwa tayari kuhudhuria? wakaniambia nijibu NDIYO au HAPANA, vipi nyie mnalionaje swali hilo hasa ukizingatia tarehe ya mwisho wa mafunzo imevuka hadi tarehe ya zoezi la sensa yenyewe.
Jibu ndio mkuuWadau nimeulizwa swali linasema: endapo mafunzo ya sensa yataanza 20/07/2022 hadi 20/09/2022 je nitakuwa tayari kuhudhuria? wakaniambia nijibu NDIYO au HAPANA, vipi nyie mnalionaje swali hilo hasa ukizingatia tarehe ya mwisho wa mafunzo imevuka hadi tarehe ya zoezi la sensa yenyewe.
Ndo ivo mkuu, na hapa bado ramli za malipo.πππ naona ramli zinaanza mdogo mdogo baada ya kuisha kwa siku mbili tatu hizi.
Umesikia wapi?Nimeshangaa kuskia msimamizi wa TEHAMA ni mmoja tuu kwa kata
[emoji116][emoji116][emoji116] Nisaidie jibuMimi ni form 4 anayejihic ana akili sana na uelewa mkubwa aniulize swal lolote kuhus technology. Tumechoka kudhalaulika
Wadau nimeulizwa swali linasema: endapo mafunzo ya sensa yataanza 20/07/2022 hadi 20/09/2022 je nitakuwa tayari kuhudhuria? wakaniambia nijibu NDIYO au HAPANA, vipi nyie mnalionaje swali hilo hasa ukizingatia tarehe ya mwisho wa mafunzo imevuka hadi tarehe ya zoezi la sensa yenyewe.
Jibu ni NDIYO, Hapo kitaalam tunasema ulikuwa unapimwa response yako kama ikitokea kuna mabadiliko yoyote ya ratiba ya zoeziNimeulizwa pia ilo nikasema mmh!! Huu mtego au?? Nikawaambia zoezi la sensa linaanza tarehe 23/8 haifiki mwezi wa 9 akasema hujaelewa swali tunarudia wakarudia ikabid tu niseme ndiyo ila wamenichanganya