Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Naweka msisitizo,kama kuna form four atakaepata hii kazi labda huko vijijini kabisa ambapo hakuna namna,lakini kwa Mijini wahesabu maumivu.Soma kwa makini hio attachment.View attachment 2299870
Me niliomba nikaitwa kwenye usaili vimaswali vyenyewe najua pale natoboa hata kama walituuliza kwa lugha ya mkoloni, ila kwa sasa wakiniita nakupangiwa mjini nitafanya wakinipeleka vijijini ciendiNaweka msisitizo,kama kuna form four atakaepata hii kazi labda huko vijijini kabisa ambapo hakuna namna,lakini kwa Mijini wahesabu maumivu.
Wanaweza kudhani wanawasaidia hawa vijana wao, ila kiukweli wana walemaza sana kifikra.Kazi mnayo ndugu zangu. Behind the scene mambo ndo yapo kama hivi. View attachment 2299955
Naweka msisitizo,kama kuna form four atakaepata hii kazi labda huko vijijini kabisa ambapo hakuna namna,lakini kwa Mijini wahesabu maumivu.
Inasikitisha kwakweli [emoji16]Alafu mjini kutakuwa na watu wachache tena hahahahaha alafu zamu ijayo watu watarudi mjini alafu kijijini kuna pelea tena?
Ukijanl kushtula sensa 3 tangu ya 2022 kwaiyo miaka 30 plus yako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
waache wabwabwaje tu,hawajui kinachoendelea japo na mimi nimeomba lakn naangalia kwa ukaribu sanaaa nini kinaendelea kwenye ajira hizi za sensa.Kwaiyo hii Kazi ya ukarani watapewa watu gani hii Kazi kwa Uelewa wangu watawapa wanafunzi wa vyuo na jobless hata Kama form four trust
Pia hakuna Cha connection we hujui lolote kuhusu sema hujawa short listed kwa sababu huna vyeti.
Mnajuaje kama wanahitaji watu flani katika eneo hilo?Kwenye Kata yetu Maudhui wanatakiwa watu 10 tu, walioomba hiyo nafasi ni zaidi ya 300
Ramli inshort hapa JF hakuna Mtu mwenye taarifa za uhakika kila mtu anabahatisha tu.Mnajuaje kama wanahitaji watu flani katika eneo hilo?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sawa msomiUlivyo MJINGA haujui kuwa programming language ni lugha za kiteknolojia na bado hauoni aibu kudharau wasomi!
Acheni muda uamue.Ramli inshort hapa JF hakuna Mtu mwenye taarifa za uhakika kila mtu anabahatisha tu.
si kweli mkuu,mimi nipo kwenye system naona mambo yoteee udhibiti ni mkubwa sanaaa na hata ukipokea pesa kama haipo haipo tu kwahyo wala wasihangaike tu,maana udhibiti ni wa kutosha sanaaaa.
UPATIKANAJI WA AJIRA HUU KWA BILA CONNECTION NI UHAKIKA ZAIDI NA KILA MTU ANAENDA KULAMBA ASALI
If TrueSoma kwa makini hio attachment.View attachment 2299870
Samia kajitahidi aisee , kwenye usaili sehemu nyingi nimeona vijana mostly jobless kabisa na vijana wa chuo , vijana wengi walikuwa hawana tumaini kabisa mambo ya connection akiweza kudhibiti hata Kwa asilimia 70 atakuwa amewanyanyua vijana ...hii nchi manyang'au wengi mno .... Kwenye sualala Ajira Kwa vijana jiwe akasome kwa mamaIf True
Mungu amlinde Samia na mabaya yote
Maana atakuwa ametukooa Sana Yan
Kama kata yetu wamebandika kbsa wanahitajika wangapiMnajuaje kama wanahitaji watu flani katika eneo hilo?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Soma mwongozoKwaiyo hii Kazi ya ukarani watapewa watu gani hii Kazi kwa Uelewa wangu watawapa wanafunzi wa vyuo na jobless hata Kama form four trust
Pia hakuna Cha connection we hujui lolote kuhusu sema hujawa short listed kwa sababu huna vyeti.
Wewe waache wajisifu kuwa wamejibu kwa ufasaha maswali.Unakosa connection hata ya mtendaji ? Je tamisemi au ajira za kudumu mtatoboa kweli
Hahahaha [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe waache wajisifu kuwa wamejibu kwa ufasaha maswali.
Bado Frank Wanjiru atakwambia bila connection hata hao 19 hawatoboi 😄😄Kuna kata moja pia inahitaji watu 60 walioomba walikuwa 40 waliofanya usaili 19