Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Hao ndio wanaochagua watu ?Pole sana ndugu sema ukipata usiende kuwa ngoswe lakin pia tambua kuwa kule halmashauri na manispaaa kuna WAJUMBE.
Sent from my LG-H910 using JamiiForums mobile app
Yah WAJUMBE ndo kila kitu hapo.......Hao ndio wanaochagua watu ?
kama sio mtandaoni ndio wanachugua Haha basi nishapata
ndio kina nani hao wajumbe
Anamaanisha WEO, MEO, Ma afisa utumishi nakadhalika ila mkuu wa wilaya sijui kama anahusikandio kina nani hao wajumbe
maafisa watendaji hawaendi??Anamaanisha WEO, MEO, Ma afisa utumishi nakadhalika ila mkuu wa wilaya sijui kama anahusika
Wewe nenda kwa mtendaji wa kataWadau Sehemu uthibitisho wa kiongozi wa eneo unaloishi si naweza kumpa hata mjumbe wa mtaa asaini maana wameandika afisa mtendaji /sheha wa kijiji/mtaa/Shehia . Sasa sheha wa mtaa kuna mtu kaniambia ndio mjumbe .
mjumbe anatakiwa akupe barua ya utambulisho ipeleke kw amtendaji kata ndoakusignieWadau Sehemu uthibitisho wa kiongozi wa eneo unaloishi si naweza kumpa hata mjumbe wa mtaa asaini maana wameandika afisa mtendaji /sheha wa kijiji/mtaa/Shehia . Sasa sheha wa mtaa kuna mtu kaniambia ndio mjumbe .
Maana sijapata taarifa au notification yoyote ile, ila account inaonyesha hiviiJamani naomba kuuliza unajuaje kuwa maombi yako yameenda ?
Wa mtaa/kijiji ? (Veo) Sijajua ila wa kata ambaye ndio WEO huyo yupomaafisa watendaji hawaendi??
We nenda kwa mtendaji mtaa wako ulioandikisha mtupie lifomu haitajii maelezo ye mwenyewe anamwaga winoWadau Sehemu uthibitisho wa kiongozi wa eneo unaloishi si naweza kumpa hata mjumbe wa mtaa asaini maana wameandika afisa mtendaji /sheha wa kijiji/mtaa/Shehia . Sasa sheha wa mtaa kuna mtu kaniambia ndio mjumbe .
Kwenye ile account yako uliongia na password wanakwambia maombi yametumwa pale kwenye info zakoJamani naomba kuuliza unajuaje kuwa maombi yako yameenda ?
Ndio mkuu nimeambiwaKwenye ile account yako uliongia na password wanakwambia maombi yametumwa pale kwenye info zako
Anasemaje huyo jamaa/Yuko na shida ipi huyo..?
NdioNaomben kuuliza iv usaili ndo unakuaje ngazi ya kata kwa sisi tulioomba ukarani..?