Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nimecheka saaana kudadeki [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nawaambia ndugu zangu Mungu kafanya miujiza yake majina yametoka upo kote kote polisi na uhamiaji au fire na polisi [emoji3]. Halafu unasema unaenda ccp

Labda kwa mapenzi yako binafsi na mahaba yaliyo juu unapenda uende uko


Ila tukiongea ukweli nyie wenyewe mnajua nasema hivi humu ndani ikitokea imewakuta hivyo mmepata kote kote hakuna atakaye enda huko labda MrBanks [emoji3] kidogo inaonekana anakupenda

Ila xmonster anayependa mshahara wa haraka haraka utamkuta tayari kasharipoti boma
 
fact
 
Jamaa yangu alipiga interview uhamiaji na magereza, mkeka umetoka jina lake lipo kotekote yan uhamiaji na magereza.... Jamaa akachagua magereza dah[emoji23]
 
Malaria haikupi u - unfit ila kujifanya unaumwa Mara kwa Mara unakuw recorded so at the end wanaku mark up kuwa unfit. Watu wana act sana kule nasikia
 
Malaria haikupi u - unfit ila kujifanya unaumwa Mara kwa Mara unakuw recorded so at the end wanaku mark up kuwa unfit. Watu wana act sana kule nasikia
Daah Mimi nakuogopa Sana kule

Ila mimi najiuliza mpka leo sipata jibu ina maana polisi miezi 9 hawa wengine 6

Kwa nini inakuwa hivyo

Na kwenye maslahi wakoje?

Maana wanasema wizara ya ndani mishahara inalingana
 
Hahaha huko hapana mkuu tena najua na PCCB wataleta zao...sema PCCB na wao intake iliyopita walifanyia huko huko CCP
 
Daah Mimi nakuogopa Sana kule

Ila mimi najiuliza mpka leo sipata jibu ina maana polisi miezi 9 hawa wengine 6

Kwa nini inakuwa hivyo

Na kwenye maslahi wakoje?

Maana wanasema wizara ya ndani mishahara inalingana
Kinachofanya polisi ichukue muda mrefu ni darasani sana. Masomo mengi afu porini pia wanakaa muda mrefu kuliko hata JW. Inshort dogo ananiambia porini polisi wako vizur sana na mifumo ya kimapigano. Kule ndio kazi ipo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…