Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Dah dadek nimemvamia mzee mmoja hivi kuhusu hii mishe kaniambia nimchek jioni ila kama course ishaanza kitambo sana basi matumain ya kuunganishwa ni madogo.
kuna officer mmoja mimi nilimvaa alinambia nisubirie nafasi ipo mwezi wa pili wanachukua mwakan kuna jamaa yangu tena aunt yake nayeye ni mzito huko kambini kaambiw nayeye taalifa za kuhusu mwezi wa pili hapo nmeanza kupata uhakika kabisa mwezi wa pili jwtz wanaweza wakaibuka na watu kwa sababu kule jkt kambini op samia suluhu wa kujitolea na wao washamaliza wanasubiri ajira tu saivi kwahyo lolote linaweza kutokea ila ukweli TPDF bila mbanga ya uhakika hutoboi.....utakuw unasikia tu washaanza mafunzo washaanza kozi
 
Siku zote ukiomba mkoani kila kitu hatua zote zinafanyika mkoani tu , PDF ya mwisho ndiyo itakuja na majina ya watu wote wale na mikoani na wataokao fanya usaili makao makuu hawa ni watu wa fani
Ni kweli na hizo siku zote anuani ya barua yako inakuwa ya kamanda wa huo mkoa husika na ndio maana unafanyia mkoani


Sasa nashangaa anuani ya makao makuu Dodoma halafu usaili mikoani


Hapo nashindwa kuelewa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nilijua majina yote ya walioomba mikoani na wale wa professionals yote yanatumwa kwenda makao makuu na wanawekwa kwenye pdf moja. Nimekupata vyema
Ni ndio uko sawa anuani ya barua kama ni ya makao makuu basi ujue usaili utafanyia makao makuu ambapo ndio barua yako inaenda

Kama ni ya mkoani ujue basi mkoani kama saili za nyuma tu form 4 walikuwa wanatumia anwani za mikoa yao

kama watu wamepigiwa simu mikoani kama msemavyo basi labda wamebadili .. ngoja tuone kama ni kweli

Maana huyu aliotoa habari amesikia kwa rafiki ake



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Usaili wa mikoani unafanyika kwa niaba ya makao makuu. IGP anatoa mamlaka kwa RPCs kufanya huo usaili.
 
Chuo cha Dar utaenda ukifika level za kwenda kuchukua nyota tatu. Sasa basic training wakikupeleka Dar mkuu hata hizo weapon training utafanyia wapi?. Basic training ni CCP kwa sasa
 
Mwanangu kitaa kigumu acha tu.

Huko utumishi tushapigwa sana peresuperesu.

Now tumeona tutumikie vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] hii nchi ukipata lazima umsahau mwenye njaa
Hapo utumishi hao wasimamizi wanavyokaza na mitihani inavyotungwa unasema hawa jamaa walikuwa wasaka ajira kweli

Kama ule usaili wa ofisi ya bunge ngoma jiwe ukicheki matokeo ni sifuri na namba za viatu kama zote [emoji3].

Hapo ukute mwamba ametoka kigoma na nauli yake anaenda pata sifuri Dodoma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…