Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Safari hii hawataki felia wanawasumbua Sana kwenye kozi
Waliofeli wana zero mkuu ila hao hawakufanya vizuri. Ni kweli kuna changamoto kwao kwenye kuelewa masomo especially ya sheria lakini wanahitajika sana kwa kazi za kigumu. Simbachawene hakukosea kipindi kile. Mtu wa degree ukimpeleka lindo kama majeshi hayapendi basi ataona kama unamuonea vile.

So hawawezi kuwaacha. Wataendelea kuwepo tu.
 
Habarini wazalendo.... Zidisheni maombi kuhusu ajira za majeshi but kama una connection ishikilieeee hali ni mbaya
 
Mzee komaa hapo hapo TPA ukusanye hela utengeneze familia na uanze kujenga huku ukitembelea premio yake safi kabisa
 
Huwa nawaambia wadau...kama ukizama chomboni kwa ajili ya maslahi utateseka sana ..huwa hawaamini
Na kuna wadau tangu wapo wadogo wanazipenda hizi kazi sana
 
Daah aisee [emoji16][emoji16][emoji16]

Hii bongo usipochangamka utaachwa nyuma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Linapausha ngozi lile mammaae siwezi lisahau [emoji16]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu acha tu asikwambie mtu hasa zile za madaraja daah huwa ni za mateso kuna siku tulipiga ujenzi wa daraja tulikuwa kama 60 hv huwezi amini ile shoo mpaka watu walikuwa wanaomba kwenda kujisaidia hawarudi wengine wanajificha porini kwa kutegea, ile ngoma tulimaliza nane usiku nikarudi om s 9 usiku huwezi amini mkuu kwanza nililala na viatu alafu nilikuja kushtuka mchana wa saa 9 japo nilipata 30000 lakini ilikuwa ya moto *****
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…