Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hao 12 walichomolewa wakiwa tayari wameshapqtq ajira?
 
Chief ungeimalizia hii kitu
 
Watu Wana tofautiana mioyooo mwanangu alichek na ma Gen wawil bado ngumu kusaidika jamaa yangu mzeee wake alikuw brigedia
 
Eeeeh huyo jini
 
Mkisi nadhani ashawahi kua lecturer UDSM.

Huyu mwamba nasikia ana majivuno acha tu.

Nasikia akiwaga katika vipindi anasema kua katika wajeda wote TZ ni general tu ndio anamzidi kwa mtonyo.

Pia ashawahi kusema kua ikitokea gari yake imeonekana mazense au Tandale ujue labda imeibiwa [emoji16].

Eti yeye kwa hadhi yake yake hawezi kwenda hizo sehemu.

Pia akasema nyumbani kwake kila mtu ni degree holder hadi house girl wake[emoji848][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Staff sajenti Mungu mtu??? Labla kwa ma private. Watu ambao ni miungu watu sana kikosini ni CO na MR RSM
RSM wanakuwaga wanaa Sana Hawa wazee, pale 835 kulikuw na RSM matanda,sas kuna mzee anafanana nae umri kbsa yeye ni staff sajent,kipindi tunapiga kwata uwanja wa damu yeye Alikuw anavuta sigara.rsm akamwambia acha kuvuta sigara nitakupiga guard, nlicheka sn hahahahaha
 
Kaka captain au luteni bado sana kwanzia major kidogo sawa. Nadhani unanielewa hapo na endapo major ni mkuu basi captain atakuwa adjutant.


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Matanda hakuwa mnaa Bali ni mzee wa maneno mengii akiongea unaweza sema leo nimeisha ila wala alikuwa very fair mpaka wenzie walikuwa wanamjua
 
Ndivyo alivyo ila yuko poa sana na ni makini hasa.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Namjua vizuri ni mzee wa kwata kama alizaliwa nayo siku vikitimka hakuna vitengo wote uwanjani[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah yule mzee alikuwa mtata sana,ila me nahis hao wanaowapa vyeo lzm wanaangalia na unaa wa mtu.maan marsm weng wanakuwa wanaa knma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…