Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania


Kwahio mkuu inamaana hata madaktar wakitoka depo wataenda lindo kwa miaka kadhaa..[emoji849]
 
Kwahio mkuu inamaana hata madaktar wakitoka depo wataenda lindo kwa miaka kadhaa..[emoji849]
Hahahahah, hofu yako nini? Askari afu hupendi lindo?

Watu wa afya ni chini ya kikosi cha afya, performing general duties labda emergency.

Tupeni lonja majanguu
 
Inawezekana
Kuna mtu mmoja alikua anauliza haya "maji ya kunywa" wanakunywa?

Akajibiwa "Ndio wanakunywa", akavimba na kuonyesha hasira zake (UHALISIA) waziwazi.

Tupeane Lonja wazee camp litakuaje sijui..
 
Wasubirieni walioitwa leo watawapa habari maana siyo lonja tena sasa hivi ni taarifa kamili.
 
Nafasi za elimu kuanzia astashahada mpaka shahada hazizidi 200 na wameitwa zaidi ya 1000.Mchujo utakuwa mkali.
 
Kivipi mkuu
Vijana wapunguze hopes za kuitwa itasaidia Sana Kama akikosa lakini atakua disappointed Kama akiwa na hopes...mchuano ni mkali Sana according to mmoja wa wateuzi nilisikia Jana around tar 10s majina ya kidato Cha 4 na 6 yatatoka...subirini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…