Mbanga ya kweli haiulizi pesa ila mambo yakiwa mazuri we mwenyewe unajiongeza tu unamtoaUnajua unapoibia lonja unakuwa sio dipu kivile usije ikela mbanga yako.lkn niwaulize wakuu mibuyu yenu mlitoboa mifuko?ama mlipiga magoti tu? haloo nasikia mkunu mtupu haulambwi. ila mambo yameiva bado kuachiwa ni hayo tu UT
Boma Kichakamiba ni eneo katika wilaya ya Mkinga Tanga kambi ilipo.from Boma kichaka miba to Raphael kubaga . hii kubadilishwa jina bdo sina facts nayo sana. ila niliipata humu humu mkuu
Upo karibu na mgodi. Utumie vizuri kijana. Hapo unajitoa ufahamu tu unainteract na watu muhimu.sina mkuu wangu, sema nipo karibu na kurasini
Sahihi kabisaMbanga ya kweli haiulizi pesa ila mambo yakiwa mazuri we mwenyewe unajiongeza tu unamtoa
Na mbanga inasumbuliwa usiogope kuisumbua ajue dogo yupo moto hawa watu wana mambo mengi
Mshikilie usimwachie.Kuna mwana mmoja hivi,nilikutana nae by chance tu hospital kwenye kusaka medical form,jamaa Ana mbanga Pt,Ut na magereza daa nimejikomba pale sijui km atanifikilia
Yeah wameanza tangu desemba mwanzoniWakuu kuna mwenye lonja kidogo za kuhusu military science wameanza course au bado??
Wamemwaga wap mkuuOyaaa naskia majina ya pt washayamwaga leo.
Naskia wale vijana wa nje ya jkt na wale wa fani wote usaili Dom.
Mpwapwa kule wameambiwa majina ya walio vikos yatabandikwa kesho. Na wale wa fani usaili 23.1.2022.
Ronjaa hizo
Nimeangalia kote hamna,Instagram na kwenye web yaoOyaaa naskia majina ya pt washayamwaga leo.
Naskia wale vijana wa nje ya jkt na wale wa fani wote usaili Dom.
Mpwapwa kule wameambiwa majina ya walio vikos yatabandikwa kesho. Na wale wa fani usaili 23.1.2022.
Ronjaa hizo
Naongezea kipindi anateuliwa Seleman mzee alikuwa brigedia jeneraliMkuu mbona umeconclude kana kwamba nimesema ASP ndio atapiga salute kwa Lt. II, soma vizuri ile para yangu nimesema mapolisi mje mtuambie kati ya hao nani atapiga salute kwa mwenzake
Okay kwahiyo mkuu unataka kusema kwamba Captain ni sawa na ASP, au kwamba Major General wa JWTZ ni sawa na DCP wa Polisi, au DCP wa Magereza, au DCI wa Uhamiaji, au DCF wa Zimamoto si ndio
Sasa mbona Magereza wamewahi kuwa na CGP mwanajeshi, na tena mwenye cheo cha Major General, hiyo imekaaje
Mimi nikahisi umeyaona kumbe umesikia...Oyaaa naskia majina ya pt washayamwaga leo.
Naskia wale vijana wa nje ya jkt na wale wa fani wote usaili Dom.
Mpwapwa kule wameambiwa majina ya walio vikos yatabandikwa kesho. Na wale wa fani usaili 23.1.2022.
Ronjaa hizo
Form 4 pt ni mkoani hakuna DodomaOyaaa naskia majina ya pt washayamwaga leo.
Naskia wale vijana wa nje ya jkt na wale wa fani wote usaili Dom.
Mpwapwa kule wameambiwa majina ya walio vikos yatabandikwa kesho. Na wale wa fani usaili 23.1.2022.
Ronjaa hizo
Ndo Ronjaa hizo huitwa sasa
Ngoja tuone itafahamika tuOyaaa naskia majina ya pt washayamwaga leo.
Naskia wale vijana wa nje ya jkt na wale wa fani wote usaili Dom.
Mpwapwa kule wameambiwa majina ya walio vikos yatabandikwa kesho. Na wale wa fani usaili 23.1.2022.
Ronjaa hizo