Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

 
Hiko ndo kitu yule afande alikua analalamika na kuhuzunika wametuita wengi lakini nafasi chache sanaa so sijui kama ni ukweli au zilikua story tuu,tusubiri tuone majibu
Inawezekana ni kweli. Zimamoto waliita watu 540+ i'la imechukua 78 so kwa watu 3000 walioitwa Dar si ajabu tukaskia 400 ndo wamepata nafas
 
500 ni nafasi za Zanzibar pekee. Tanzania bara ni zaidi ya hizo.
 
Habari zenu wapendwa mimi na swali nataka nijue kwa upande wa mikoa Mengin imekaaje hii kitu mim nimemaliza form 4 2015 pia nimefanya jkt 2018 msange tabora kweny huu usaili nilituma maombi kwa njia ya form 4 mana kwa kutumia njia ya cheti cha chuo sijaweza mana nina sup nina soma dental ivyo basi uku tabora wamesm kua hawapokei watu walio maliza form 2015 zaidi ya watu walio maliza kwanzia 2016 ivi hii ishu inakaaje mana adi mtu anae nisimamia amepambna kweli ila naona Ngoma imekua Ngumu vipi kwa mikoa Mengin uko imekaaje
 
2015 wamerudishwa kidato cha nne
 
Mwambie akupambanie magereza
 
Achana na jeshi nenda ata Suma au k security
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…