Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kwa wale tunaofnya usaili tarehe 30 ngazi ya degree. Usaili unafanyida dar sehem gani maana nimeona unafanyika DPA sjaelewa location sababu mi mgeni hili Jiji
DPA iki Chuo Kiko Kilwa road Kurasini karibu sana kaka tutakutana pale me pia nimepangiwa hapo Usaili
 
Wakuu UT ilikua pepa technical
Defn
passport
requirements if u want travel abroad
bonified citizen
benefits of immigration to Economy of tz
african blocks that Tanzania is the member?
andika wimbo wa taifa
multiple choice
matching items haloo, wimbo wataifa nime robu robu kinoma wakuu.

pepa Ya Bachelor holder na Six, form four wamepiga pepa yao ilikua simpo kinyama,kidogo nilukie yao wazee.
 
Dah....Ila sio mbaya ilikua ya kawaida naona...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wale wa PT,oral waliuliza maswali gani ukiachana na professional yako nilimaamisha maswali mengine kuhususu polisi
 
Wale wa PT,oral waliuliza maswali gani ukiachana na professional yako nilimaamisha maswali mengine kuhususu polisi
Kwenye written sana sana ni maswali ya professional yako na kwenye oral ni maswali ya professional yako na baadhi out of professional.

Kiuhalsia ni kwamba jiandae Kwa Kila kitu unachohisi kinaweza kutoka jiandae Kwa lolote, uvumilivu ndio kila kitu mpaka utamaliza usaili. Don't Give up Kwa lolote fata maelekezo Yao kila kitu utaona wepesi.
 
UT tumeingia venue samoja ,ila pepa imepigwa satisa .wmesema ni somo la uvumilivu aiseeh imenipiga almanusura kuzima kozi sikula tangu jana
additiona dfns

define foreigner

immigration
entry points
 
Hapo nisingekosa 90+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…